BASIASI
JF-Expert Member
- Sep 20, 2010
- 9,732
- 5,006
Tumepita hapa Magomeni tukaona watu wanakimbizana kushuka kwenye vioo vya basi nikahisi linawaka moto dereva wetu akasimamisha, kusogea naona watu wanashuka na kukimbia
Kuulizia tunaambiwa kuna mtu kaacha mfuko alie pembeni akahisi una kitu alipofungua ni nyuki wanapishana kwenye viti na kuuma watu
Aisee naamini huyu bwana hakuacha kwa bahati mbaya wamama wametoka wamevimba jamani uangalii mara mbili
nyuki sio kabisa
Mnapoona vimfuko vimeachwa kwa basi msikimbilie kufungua mtalia.
Kuulizia tunaambiwa kuna mtu kaacha mfuko alie pembeni akahisi una kitu alipofungua ni nyuki wanapishana kwenye viti na kuuma watu
Aisee naamini huyu bwana hakuacha kwa bahati mbaya wamama wametoka wamevimba jamani uangalii mara mbili
nyuki sio kabisa
Mnapoona vimfuko vimeachwa kwa basi msikimbilie kufungua mtalia.