Sio kwamba Mbowe hajatambua kuwa alishafeli. Ni ile janja ya kuigeuza CHADEMA kitega uchumi ndio inamfanya akomae.

Sio kwamba Mbowe hajatambua kuwa alishafeli. Ni ile janja ya kuigeuza CHADEMA kitega uchumi ndio inamfanya akomae.

Idugunde

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2020
Posts
6,404
Reaction score
6,969
Kama unaweza kujichotea mabil ya pesa na hakuna mtu wa kuhoji. Kwa nini usiwe mwenyekiti wa kudumu maisha?

Hata kama utatambua kuwa kupata hata madiwani na wabunge ni ngumu maaana wananchi walishapuuza chama unachokimiliki kama kuku wa kufuga wa mayai.

Unakuwa na kundi dogo kama la akina Mwipaya unakuwa unawapa kiduchu huku makamanda wengi wakiambulia patupu.
1000029692.jpg
 
CHADEMA si ilisha kufa?: CCM jifunzeni ustaarabu kwamba marehemu hatajwi tajwi: Yaani nyie kweli kokoro ni kila aina ya uovu mnayo, wizi wa mali/ kura,ngono zote zembe/ salama,hadaa,roho mbaya, vyeti feki nk.
 
Kama unaweza kujichotea mabil ya pesa na hakuna mtu wa kuhoji. Kwa nini usiwe mwenyekiti wa kudumu maisha?

Hata kama utatambua kuwa kupata hata madiwani na wabunge ni ngumu maaana wananchi walishapuuza chama unachokimiliki kama kuku wa kufuga wa mayai.

Unakuwa na kundi dogo kama la akina Mwipaya unakuwa unawapa kiduchu huku makamanda wengi wakiambulia patupu.
View attachment 3060897
Bila Mbowe hakuna upinzani Tanzania!
 
Kama unaweza kujichotea mabil ya pesa na hakuna mtu wa kuhoji. Kwa nini usiwe mwenyekiti wa kudumu maisha?

Hata kama utatambua kuwa kupata hata madiwani na wabunge ni ngumu maaana wananchi walishapuuza chama unachokimiliki kama kuku wa kufuga wa mayai.

Unakuwa na kundi dogo kama la akina Mwipaya unakuwa unawapa kiduchu huku makamanda wengi wakiambulia patupu.
View attachment 3060897
Subiri wachagga waliomo humu watakavyotoa mapovu
 
Mbowe Ndio chanzo Cha umaskini wa Taifa!? Nijitahidi kutafakari ila nashindwa kutambua
Mbona mnasemaga Mbowe ni bilionaire,huwa umilionera aliupata toka kenya sio?Ndio maana mnaitwa Nyumbu
 
Mbona mnasemaga Mbowe ni bilionaire,huwa umilionera aliupata toka kenya sio?Ndio maana mnaitwa Nyumbu
Ongea point Ndugu, Mimi sipendi siasa, ila nataka nijue mbowe ameshawahi kuongoza serekali ipi hapa Tanzania!?
 
Mbowe ndiye kiongozi pekee wa upinzani hapa Tanzania
 
Upinzani wa kutumia gia ya ukabila ni uyaunani
Hakuna ukabila hapo; Mbowe, Mrema, Mbatia, Mvungi, Kyara, Salesini, Mtei na wengine wengi kutoka K’Njaro ndio waasisi wa upinzani Tanzania. Hakika kabla ya hapo miaka ya 1950 upinzani ulianza na Mangi Mkuu Marealle ambaye alikuwa tayari na bunge na serikali yake ya Chaggaland. Bila hawa watu hawa hakuna upinzani Tanzania! Waachwe wakamilishe kazi waliyoianza la sivyo tuwaachie Waarabu watafune nchi.
 
Ongea point Ndugu, Mimi sipendi siasa, ila nataka nijue mbowe ameshawahi kuongoza serekali ipi hapa Tanzania!?
Kwani ulitaka aongeze serikali mkuu? Ametumia gia ya ukabila na ukanda kujipatia riziki mkuu wangu .Na atalaaniwa kwa kupandikiza kizazi kinachojua kupinga tu bila kuwa na mmbadala wanachopinga zaidi ya kusema komaa kamanda 🙆‍♂️🙆‍♂️
 
Hakuna ukabila hapo; Mbowe, Mrema, Mbatia, Mvungi, Kyara, Salesini, Mtei na wengine wengi kutoka K’Njaro ndio waasisi wa upinzani Tanzania. Hakika kabla ya hapo miaka ya 1950 upinzani ulianza na Mangi Mkuu Marealle ambaye alikuwa tayari na bunge na serikali yake ya Chaggaland. Bila hawa watu hawa hakuna upinzani Tanzania! Waachwe wakamilishe kazi waliyoianza la sivyo tuwaachie Waarabu watafune nchi.
Kwa unatagemea hawa wapuuzi ndio wakamate nchi ?
 
Kwani ulitaka aongeze serikali mkuu? Ametumia gia ya ukabila na ukanda kujipatia riziki mkuu wangu .Na atalaaniwa kwa kupandikiza kizazi kinachojua kupinga tu bila kuwa na mmbadala wanachopinga zaidi ya kusema komaa kamanda 🙆‍♂️🙆‍♂️
Taifa Lina rasilimali Nyingi sana, ila pia kama wewe unahisi ukabila unalipa pia anza na wewe kuutumia!! Ila nakusihi ujenge hoja watu watakuelewa zaidi, ni wapi tunahitaji kubadilika na sio kumshambulia mtu binafsi
 
Kama unaweza kujichotea mabil ya pesa na hakuna mtu wa kuhoji. Kwa nini usiwe mwenyekiti wa kudumu maisha?

Hata kama utatambua kuwa kupata hata madiwani na wabunge ni ngumu maaana wananchi walishapuuza chama unachokimiliki kama kuku wa kufuga wa mayai.

Unakuwa na kundi dogo kama la akina Mwipaya unakuwa unawapa kiduchu huku makamanda wengi wakiambulia patupu.
View attachment 3060897
Kweli unaacha kuwafikishia habari wala kwa urefu wa kamba unahangaika na wanaodhulumiwa na wala kwa urefu wa kamba?
 
Kama unaweza kujichotea mabil ya pesa na hakuna mtu wa kuhoji. Kwa nini usiwe mwenyekiti wa kudumu maisha?

Hata kama utatambua kuwa kupata hata madiwani na wabunge ni ngumu maaana wananchi walishapuuza chama unachokimiliki kama kuku wa kufuga wa mayai.

Unakuwa na kundi dogo kama la akina Mwipaya unakuwa unawapa kiduchu huku makamanda wengi wakiambulia patupu.
View attachment 3060897
Ccm wameuza rasilimali zote zimeisha sasa wanataka kubafili Sheria kuchimba madini mbuga za taifa

Ccm laana tupu
 
Back
Top Bottom