Sio kwamba wanamkumbuka tu bali pia wameanza kulia na kusaga meno. Ila Dkt. Slaa alimkubali na hili la Bandari lisingetokea

Sio kwamba wanamkumbuka tu bali pia wameanza kulia na kusaga meno. Ila Dkt. Slaa alimkubali na hili la Bandari lisingetokea

Nyankurungu2020

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2020
Posts
4,170
Reaction score
6,757
20230813_170329.jpg
 
Labda Slaa, sio akina Mdude na Mwasonga
Kwao Magufuli ni gaidi hadi kesho
 
Sema unamkumbuka. Usiseme wanamkimumbuka.

Alafu hamjamaliza matanga hapo chato?
 
Wakati Wamarekani, Waingereza na Wafaransa wamekaliwa kooni na wafashisti wa Ujerumani na Italia, waliamua kuunda urafiki na maadui wao wa muda mrefu, Wakomunisti wa Urusi na Mafioso wa Sicilia. Ulikuwa ni uswahiba wa maslahi (An Alliance of Convenience). Huu uswahiba ndiyo ulisaidia kuziangusha Ujerumani na Italia.

Wakati Raisi Magufuli amewakalia kooni CCM, maadui wa muda mrefu kama kutoka megenge hasimu ndani ya nchi, upinzani na serikalini yaliungana. Ulikuwa ni uswahiba wa maslahi (An Alliance of Convenience). Kuna wakati Raisi Samia alikuwa anawaunga mkono CHADEMA, pia kuna wakati vikao vya siri vilifanyika baina ya viongozi wa awamu ya nne na wapinzani. Muungano ule ndiyo ulituletea huyu mama.

Hichi kinachoendelea nchini sasa hivi, kimeanza kutengeneza kundi jingine ambalo limeungana kimaslahi (An Alliance of Convenience). Kuna msemo wa wazungu unasema, "An Enemy of My Enemy Is My Friend". Kiufupi mambo yatakuwa mengi mno, maana dini, utanganyika na uzanzibari vinahusika.....
 
Wakati Wamarekani, Waingereza na Wafaransa wamekaliwa kooni na wafashisti wa Ujerumani na Italia, waliamua kuunda urafiki na maadui wao wa muda mrefu, Wakomunisti wa Urusi na Mafioso wa Sicilia. Ulikuwa ni uswahiba wa maslahi (An Alliance of Convenience). Huu uswahiba ndiyo ulisaidia kuziangusha Ujerumani na Italia.

Wakati Raisi Magufuli amewakalia kooni CCM, maadui wa muda mrefu kama kutoka megenge hasimu ndani ya nchi, upinzani na serikalini yaliungana. Ulikuwa ni uswahiba wa maslahi (An Alliance of Convenience). Kuna wakati Raisi Samia alikuwa anawaunga mkono CHADEMA, pia kuna wakati vikao vya siri vilifanyika baina ya viongozi wa awamu ya nne na wapinzani. Muungano ule ndiyo ulituletea huyu mama.

Hichi kinachoendelea nchini sasa hivi, kimeanza kutengeneza kundi jingine ambalo limeungana kimaslahi (An Alliance of Convenience). Kuna msemo wa wazungu unasema, "An Enemy of My Enemy Is My Friend". Kiufupi mambo yatakuwa mengi mno, maana dini, utanganyika na uzanzibari vinahusika.....
Patamu hapo
 
Hata kama ugali ukiungua ( Samia) huwezi kuufananisha na kinyesi (jiwe).

Pamoja na kwamba rais Samia anakosea kamwe haiwezi kumfanya jiwe kuwa rais mzuri
 
Wakati Wamarekani, Waingereza na Wafaransa wamekaliwa kooni na wafashisti wa Ujerumani na Italia, waliamua kuunda urafiki na maadui wao wa muda mrefu, Wakomunisti wa Urusi na Mafioso wa Sicilia. Ulikuwa ni uswahiba wa maslahi (An Alliance of Convenience). Huu uswahiba ndiyo ulisaidia kuziangusha Ujerumani na Italia.

Wakati Raisi Magufuli amewakalia kooni CCM, maadui wa muda mrefu kama kutoka megenge hasimu ndani ya nchi, upinzani na serikalini yaliungana. Ulikuwa ni uswahiba wa maslahi (An Alliance of Convenience). Kuna wakati Raisi Samia alikuwa anawaunga mkono CHADEMA, pia kuna wakati vikao vya siri vilifanyika baina ya viongozi wa awamu ya nne na wapinzani. Muungano ule ndiyo ulituletea huyu mama.

Hichi kinachoendelea nchini sasa hivi, kimeanza kutengeneza kundi jingine ambalo limeungana kimaslahi (An Alliance of Convenience). Kuna msemo wa wazungu unasema, "An Enemy of My Enemy Is My Friend". Kiufupi mambo yatakuwa mengi mno, maana dini, utanganyika na uzanzibari vinahusika.....
Hii nchi ina sarakasi nyingi mno, kibaya zaidi raia wanasombwa tu na ngoma za hao wapigaji na kufuata mdundo kumbe wanatumika tu kwa niaba ya wanasiasa maslahi.
 
Natabiri dola kufika elfu 3 kabla ya huu utawala kukamilisha muda wake maana thamani ya shilingi yetu dhidi ya dola inaporomoka kwa kasi ya 5G!

Unless otherwise, something be done to intervene the situation.
 
Back
Top Bottom