safuher
JF-Expert Member
- Feb 11, 2019
- 11,837
- 17,412
Suala la kwamba wazanzibari hawana makabila sio sahihi kabisa,wanayo makabila.
Huu uzi siandikii ati kwa kuwa makabila yataleta manufaa yoyote kwa wazenji ama madhara yoyote,bali naandika kusahihisha ufahamu tu.
Kwanza Kabila ni jamii ya watu yenye umoja fulani upande wa lugha na tamaduni, si lazima upande wa eneo na utawala wa siasa.
Kwa hivyo watu fulani wakiwa wanazungumza lugha mbayo wataelewano wao wenyewe lalini pia wakawa na tamaduni fulani ambao utawatofautisha na watu wengine hilo ni kabila tayari.
Zanzibar kuna kimakunduchi wanazungumza maneno na wana tamaduni ambazo ni tofauti na watu wengine.
Mmakunduchi akiwa anaongea kama wewe sio mmakunduchi huwezi kumuelewa,ila wao kwa wao wanaelewana.
Hili ni kabila tayari kwa sababu wana lugha yao maalumu na tamaduni zao kule makunduchi.
Tujikumbushe kidogo lugha ni nini?
Lugha ni mfumo wa sauti za nasibu zilizokua katika mpango maalum na zilizokubaliwa na jamii ya watu fulani ili zitumike katika mawasiliano.
Kwa mujibu wa maana hii kimakunduchi ni lugha kwa sababu kipo katika mpango maalumu.
Wamakunduchi wenyewe jamii yao wameikubali mfumo wa sauti hizo na zinaleta maana na wanawasiliana pia.
Lakini kwa asiyekuwa mmakunduchi hawezi kuelewa.
Je, kimakunduchi ni lahaja?
Kimakunduchi sio lahaja.
Turudi katika tafsiri ya lahaja,lhaaja mpaka sasa watu mbali mbali wameelezea neno la lahaja kinamna yake.
Mfano kuna maelezo yanasema hivi Lahaja ni vilugha vidogovidogo vya lugha moja ambavyo hubainishwa na jamii au jiografia.
kwa tafsiri hii manake kama kimakunduchi ni lahaja manake ni lugha tayari ila ni kilugha kidogo.
sasa swali la kujiuliza lugha ndogo inasifa ggan ama inapimwaje ?
kwa idadi ya wazungumzaji au kuwa na maneno mmengi?
Kama idadi ni wangapi?
Kama watu wawe wangapi ?
Utaona kuwa majawabu yake moja kwa moja sio rahisi kupata takwimu.
Kwa maana hii kimakunduchi ni kabila ndani ya zanzibar kwa mujibu wa maelezo hayo hapo juu.
Lakini pili tunaambiwa wazanzibar wengi hasa kule pemba wana asili ya tanga.
Kama kuna wazenji wana asili ya tanga basi tanga kuna makabila.
Kuna wazenji wana asili ya omani basi omani kuna makabila.
Kama kuna wazenji wana asili ya saudia basi saudia kuna makabila.
Kama kuna wazenji wana asili ta tanzania bara basi tz bara kuna makabila.
Ushirazi sio kabila kwa sababu hakuna lugha ya kishirazi.
Washirazi wanazungumza kiswahili hivyo pengine washirazi lugha yao ikawa ni kiswahili,hivyo kishirazi ni kabila hewa ambalo halina hata lugha ya kuzungumzwa.
Shiraz asili yao ni waajemi kuna mji uko huko iran unaitwa shiraaz sijui kama ni lugha ama laa kwa huko.
Tufanye ni lugha.
Kama kishirazi ni lugha kwa nini mzanzibar ambae baba yake na mama yake wote ni waswahili wanaonekana alafu yeye anajiita mshirazi ?
Kuna kabila ambalo hurithiwa kiholela namna hii?
Yani kwa kuwa wewe umeenda arabuni(maybe saudia) ukakaa zako miaka kumi huwezi kuwa mkureishi hata kidogo.
Sote tunakubaliana kwamba watua weusi asili yetu ni africa na africa kuna makabila.
Ni jambo haliwezekani watu weusi wote pale zanzibar wawe washirazi.
Kuna rafk nagu mmoja yeye ni mshirazi ananiambia lakini kainipa stori yake anasema babu wa baba yake ni mtu wa kigoma,lakini yeye ni mshirazi.
Zanzibar makabila yapo sema tu walishatawaliwa na waarabu kuanzia ukabila wakafanywa kabila liwe ushirazi tu wale ambao walitoka tabora nao wakajiita washirazi bila kujua ni katika kutawaliwa wakatae makabila yao.
Nashangaa utakuta muunguja anakataa kabisa kwamba yeye hana kabila,sijui kaaambiwa ukabila una ubaya gani,alafu hapo hapo hajui kama waarabu wanaofuata tamaduni zao wana makabila yao kibao tu.
Naomba niishie hapa kwa kuanzia mengine tutajadili kwenye comment.
Huu uzi siandikii ati kwa kuwa makabila yataleta manufaa yoyote kwa wazenji ama madhara yoyote,bali naandika kusahihisha ufahamu tu.
Kwanza Kabila ni jamii ya watu yenye umoja fulani upande wa lugha na tamaduni, si lazima upande wa eneo na utawala wa siasa.
Kwa hivyo watu fulani wakiwa wanazungumza lugha mbayo wataelewano wao wenyewe lalini pia wakawa na tamaduni fulani ambao utawatofautisha na watu wengine hilo ni kabila tayari.
Zanzibar kuna kimakunduchi wanazungumza maneno na wana tamaduni ambazo ni tofauti na watu wengine.
Mmakunduchi akiwa anaongea kama wewe sio mmakunduchi huwezi kumuelewa,ila wao kwa wao wanaelewana.
Hili ni kabila tayari kwa sababu wana lugha yao maalumu na tamaduni zao kule makunduchi.
Tujikumbushe kidogo lugha ni nini?
Lugha ni mfumo wa sauti za nasibu zilizokua katika mpango maalum na zilizokubaliwa na jamii ya watu fulani ili zitumike katika mawasiliano.
Kwa mujibu wa maana hii kimakunduchi ni lugha kwa sababu kipo katika mpango maalumu.
Wamakunduchi wenyewe jamii yao wameikubali mfumo wa sauti hizo na zinaleta maana na wanawasiliana pia.
Lakini kwa asiyekuwa mmakunduchi hawezi kuelewa.
Je, kimakunduchi ni lahaja?
Kimakunduchi sio lahaja.
Turudi katika tafsiri ya lahaja,lhaaja mpaka sasa watu mbali mbali wameelezea neno la lahaja kinamna yake.
Mfano kuna maelezo yanasema hivi Lahaja ni vilugha vidogovidogo vya lugha moja ambavyo hubainishwa na jamii au jiografia.
kwa tafsiri hii manake kama kimakunduchi ni lahaja manake ni lugha tayari ila ni kilugha kidogo.
sasa swali la kujiuliza lugha ndogo inasifa ggan ama inapimwaje ?
kwa idadi ya wazungumzaji au kuwa na maneno mmengi?
Kama idadi ni wangapi?
Kama watu wawe wangapi ?
Utaona kuwa majawabu yake moja kwa moja sio rahisi kupata takwimu.
Kwa maana hii kimakunduchi ni kabila ndani ya zanzibar kwa mujibu wa maelezo hayo hapo juu.
Lakini pili tunaambiwa wazanzibar wengi hasa kule pemba wana asili ya tanga.
Kama kuna wazenji wana asili ya tanga basi tanga kuna makabila.
Kuna wazenji wana asili ya omani basi omani kuna makabila.
Kama kuna wazenji wana asili ya saudia basi saudia kuna makabila.
Kama kuna wazenji wana asili ta tanzania bara basi tz bara kuna makabila.
Ushirazi sio kabila kwa sababu hakuna lugha ya kishirazi.
Washirazi wanazungumza kiswahili hivyo pengine washirazi lugha yao ikawa ni kiswahili,hivyo kishirazi ni kabila hewa ambalo halina hata lugha ya kuzungumzwa.
Shiraz asili yao ni waajemi kuna mji uko huko iran unaitwa shiraaz sijui kama ni lugha ama laa kwa huko.
Tufanye ni lugha.
Kama kishirazi ni lugha kwa nini mzanzibar ambae baba yake na mama yake wote ni waswahili wanaonekana alafu yeye anajiita mshirazi ?
Kuna kabila ambalo hurithiwa kiholela namna hii?
Yani kwa kuwa wewe umeenda arabuni(maybe saudia) ukakaa zako miaka kumi huwezi kuwa mkureishi hata kidogo.
Sote tunakubaliana kwamba watua weusi asili yetu ni africa na africa kuna makabila.
Ni jambo haliwezekani watu weusi wote pale zanzibar wawe washirazi.
Kuna rafk nagu mmoja yeye ni mshirazi ananiambia lakini kainipa stori yake anasema babu wa baba yake ni mtu wa kigoma,lakini yeye ni mshirazi.
Zanzibar makabila yapo sema tu walishatawaliwa na waarabu kuanzia ukabila wakafanywa kabila liwe ushirazi tu wale ambao walitoka tabora nao wakajiita washirazi bila kujua ni katika kutawaliwa wakatae makabila yao.
Nashangaa utakuta muunguja anakataa kabisa kwamba yeye hana kabila,sijui kaaambiwa ukabila una ubaya gani,alafu hapo hapo hajui kama waarabu wanaofuata tamaduni zao wana makabila yao kibao tu.
Naomba niishie hapa kwa kuanzia mengine tutajadili kwenye comment.