Sio lazima wote tulime au tufuge kuku au ng'ombe

Sio lazima wote tulime au tufuge kuku au ng'ombe

CHASHA FARMING

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2011
Posts
7,872
Reaction score
9,263
Kwenye Kilimo kuna Chaine kubwasana.

1. Kuna wauzaji wa pembejeo za Kilimo hao nao ni wakulima.

2. Kuna Wanao toa mikopo ya Kilimo pekee.

3. Kuna wakulima wenyewe.

4. Kuna Processor wa Mazao ya kilimo

5. Kuna Wauzaji wa Product za Kilomo.


Sasa wengi wetu kila mwenye mtaji anataka alime tikitiki mara afuge kuku. kila anaye otea pesa basi anataka afuge au alime.

Je hatuwazi kuanzia pale wakulima na wafugaji wabapo ishia?

Je kwenye Mchakato wao mzima hakuna Idea pale?

Nazani wengine tuwaze Kuongezea Thamani, tuwaze Kuwauzia Pembejeo.

Sio lazima Kila mtu afuge Broiler, Wengine tuwaze kuchakata hao Broiler wanao fugwa na wengine.

tuwaze kuchakata Tikitiki maji na si na sisi twende shambani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vertical practices hazipunguzi umuhimu wa horizontal practices, japo inawezekana ukajustify kwa quality na quantity,hivyo vyote vinahitajika kila pande kustabilize production chain.
 
Kwenye Kilimo kuna Chaine kubwasana.

1. Kuna wauzaji wa pembejeo za Kilimo hao nao ni wakulima.

2. Kuna Wanao toa mikopo ya Kilimo pekee.

3. Kuna wakulima wenyewe.

4. Kuna Processor wa Mazao ya kilimo

5. Kuna Wauzaji wa Product za Kilomo.


Sasa wengi wetu kila mwenye mtaji anataka alime tikitiki mara afuge kuku. kila anaye otea pesa basi anataka afuge au alime.

Je hatuwazi kuanzia pale wakulima na wafugaji wabapo ishia?

Je kwenye Mchakato wao mzima hakuna Idea pale?

Nazani wengine tuwaze Kuongezea Thamani, tuwaze Kuwauzia Pembejeo.

Sio lazima Kila mtu afuge Broiler, Wengine tuwaze kuchakata hao Broiler wanao fugwa na wengine.

tuwaze kuchakata Tikitiki maji na si na sisi twende shambani.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa nini usingekuja na kichwa kinachosema" Nina chakata tikiti, kuku, nyanya". Kuliko kuongele vith ambavyo huvifanyi na unakatisha tamaa.Ukweli ni kwamba hakuna sekta isiyo jaa.Kilimo cha robo heka ya tikiti huwezi fananisha na kusindik tikiti watu hawana mtaji wala ujuzi wa usindikaji.
 
Back
Top Bottom