Sio Marekani nzima inaunga mkono mambo ya kishetani bali ni chama cha Democtrats alichomo Biden na Obama

Sio Marekani nzima inaunga mkono mambo ya kishetani bali ni chama cha Democtrats alichomo Biden na Obama

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
Marekani kuna vyama vikuu viwili ..

1. Democrasts - Biden, Obama, Clnton, n.k
2. Republicans - Trump, Bush, Kennedy, n.k

Democrats kimekuwa chama chenye maovu mengi mno ila kwavile wao ndio wamiliki wa media nyingi kama facebook, twitter, cnn, n.k, wanajisafisha sana kwa media na hata huku kwetu kina milard ayo wataumia havari zao kutufikishia, mfano katika kuwachafua republicans, kipindi cha trump hata hapa kwetu tz mtu unakuta anamchukia tu trump kwasababu kasikia redioni ni rais mbaya, ila kituo cha redio nacho kimetoa habari huko cnn ambao walimchafua sana Trump

- Democrats ni wachochezi wakuu wa kushinikiza nchi zingine kuunga mkono ushoga na usagaji.. nakumbuka Obama alienda Kenya kushinikiza hili ila walimtolea nje..

- Wanashinikiza utoaji mimba (abortion), wapo na msemo wao .. mwili wangu , uchaguzi wangu,, lakini wanasahau kwaba kiumbe kilichomo umboni ni mtu mwengine.

-wanaruhusu maharamia wasio na vibali kuingia marekani na kuwa wananchi, hadi sasa tangu Trump atole una maharamia makumi ya ma elfu huingia kila wiki.

-ni chama ambacho kishika madaraka, kodi huwa zinakuwa juu sana
 
MKUU MBONA UMEANDIKA KWA PUPA SANA?? TULIA UIMALIZIE BASI😂😂😂🇺🇦
namalizia, hiki chama ndcho kilichoruhusu wanaume wnaobadili jinsia kushiriki michezo ya kike,,,,rekodi zinavunjwa si mchezo
 
Kuna sheikh Arusha kalawiti watoto 20 wa madrassa. Tena baadhi ya watoto wamekutwa wameathirika .
 
Simuungi mkono Biden

Lakini Cha kushangaza Zaidi ya waislamu asilimia 80 walimchagua huyu mtu

Watu weusi karibia wote walimchagua huyu jamaa

Ni Kwa sababu watu wanahitaji uhuru kuliko kitu kingine
 
Simuungi mkono Biden

Lakini Cha kushangaza Zaidi ya waislamu asilimia 80 walimchagua huyu mtu

Watu weusi karibia wote walimchagua huyu jamaa

Ni Kwa sababu watu wanahitaji uhuru kuliko kitu kingine
Watu weusi wengi wamekuwa victims wakubwa sana wa kuichagua Democrats m, mtu mweusi amejiaibisha sana, yani kisa mtu ni mweusi anataka na wenzake wote weusi wafanane hata mawazo

Si ajabu watu weusi walioelimika kama wanaijeria wanapiga sana kura kwa Republicans.
 
Kuna sheikh Arusha kalawiti watoto 20 wa madrassa. Tena baadhi ya watoto wamekutwa wameathirika .
Huyo Sheikh hawezi kuwa shehe tena, ingekuwa ni roma angesamehewa,.. umeona utofauti hapo 😁😁
 
Sasa huyo Bush aliyeua millions ya innocent civilians yeye ni saint hana mambo ya kishetani haya bana!
 
Sasa huyo Bush aliyeua millions ya innocent civilians yeye ni saint hana mambo ya kishetani haya bana!
Angalau kwa Trump hakuanzisha vita yoyote uongozi wake mzima na Putin hakuweza kufanya ushenzi wowote mbele ya Trump. kaanza hizi fuji baada ya huyu rais mgonjwa wa akili kuingia
 
Kennedy hakua Republican.
Baada ya hapo andiko lako halisomeki.
Marekani kuna vyama vikuu viwili ..

1. Democrasts - Biden, Obama, Clnton, n.k
2. Republicans - Trump, Bush, Kennedy, n.k

Democrats kimekuwa chama chenye maovu mengi mno ila kwavile wao ndio wamiliki wa media nyingi kama facebook, twitter, cnn, n.k, wanajisafisha sana kwa media na hata huku kwetu kina milard ayo wataumia havari zao kutufikishia, mfano katika kuwachafua republicans, kipindi cha trump hata hapa kwetu tz mtu unakuta anamchukia tu trump kwasababu kasikia redioni ni rais mbaya, ila kituo cha redio nacho kimetoa habari huko cnn ambao walimchafua sana Trump

- Democrats ni wachochezi wakuu wa kushinikiza nchi zingine kuunga mkono ushoga na usagaji.. nakumbuka Obama alienda Kenya kushinikiza hili ila walimtolea nje..

- Wanashinikiza utoaji mimba (abortion), wapo na msemo wao .. mwili wangu , uchaguzi wangu,, lakini wanasahau kwaba kiumbe kilichomo umboni ni mtu mwengine.

-wanaruhusu maharamia wasio na vibali kuingia marekani na kuwa wananchi, hadi sasa tangu Trump atole una maharamia makumi ya ma elfu huingia kila wiki.

-ni chama ambacho kishika madaraka, kodi huwa zinakuwa juu sana
 
Marekani kuna vyama vikuu viwili ..

1. Democrasts - Biden, Obama, Clnton, n.k
2. Republicans - Trump, Bush, Kennedy, n.k

Democrats kimekuwa chama chenye maovu mengi mno ila kwavile wao ndio wamiliki wa media nyingi kama facebook, twitter, cnn, n.k, wanajisafisha sana kwa media na hata huku kwetu kina milard ayo wataumia havari zao kutufikishia, mfano katika kuwachafua republicans, kipindi cha trump hata hapa kwetu tz mtu unakuta anamchukia tu trump kwasababu kasikia redioni ni rais mbaya, ila kituo cha redio nacho kimetoa habari huko cnn ambao walimchafua sana Trump

- Democrats ni wachochezi wakuu wa kushinikiza nchi zingine kuunga mkono ushoga na usagaji.. nakumbuka Obama alienda Kenya kushinikiza hili ila walimtolea nje..

- Wanashinikiza utoaji mimba (abortion), wapo na msemo wao .. mwili wangu , uchaguzi wangu,, lakini wanasahau kwaba kiumbe kilichomo umboni ni mtu mwengine.

-wanaruhusu maharamia wasio na vibali kuingia marekani na kuwa wananchi, hadi sasa tangu Trump atole una maharamia makumi ya ma elfu huingia kila wiki.

-ni chama ambacho kishika madaraka, kodi huwa zinakuwa juu sana
Kennedy irudishe Democrats
 
Simuungi mkono Biden

Lakini Cha kushangaza Zaidi ya waislamu asilimia 80 walimchagua huyu mtu

Watu weusi karibia wote walimchagua huyu jamaa

Ni Kwa sababu watu wanahitaji uhuru kuliko kitu kingine
Kilichomnyima Trump ni ile kauli yake dhidi ya waafrika, waarabu na waislamu pale nadhani alijipiga mtama na democrats ndo Wamiliki wa media basi wakatumia hio km kumuwekea image mbaya kwa watu duniani
 
Wanaupiga mwingi kwenye kukuza ajenda za kiibilisi.
 
Back
Top Bottom