kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 13,778
- 14,214
Hata kama uwe mwendawazimu utagundua kuwa kuwa Masoud Djuma ana mgogoro na Simba. Kuangalia mechi timu ikicheza mechi Kwa mashabiki ni burudani lakini Kwa kocha nizaidi ya burudani. Huu ni muda kocha anaona mazuri na mapungufu ya kikosi chake na timu pinzani pia Kwa mikakati ya mechi zinazofuata. Masoud kubaki Dar es salaam wakati timu yake ikisafiri inatumika model gani? Ni timu gani ingine duniani inafanya hivi?
Kwakuwa mshahara wake anapata atulie tu Kula hizo pesa lakini kitaaluma atarudi nyuma Kwa kuwekwa kwapani na Patrick.
Hata wachezaji Simba watapoteza viwango vyao wengi kwakuwa hakuna mchezaji Simba atajihakikishia kucheza DK 90 Simba. Akipotesa pass mbili tatu Kwa bahati mbaya atatolewa nje kwakuwa kocha anachanganyikiwa ampange yupi wapi na lini.
Djuma bhana kama hujui sehemu za Siri za kuku zilipo subiri upepo mkali uvume. Jamaa wamekuegesha Tu hapo wakisubiri Patrick aboronge, asipoboronga utaendelea kuwekwa kwapani hadi uchache.
Kwakuwa mshahara wake anapata atulie tu Kula hizo pesa lakini kitaaluma atarudi nyuma Kwa kuwekwa kwapani na Patrick.
Hata wachezaji Simba watapoteza viwango vyao wengi kwakuwa hakuna mchezaji Simba atajihakikishia kucheza DK 90 Simba. Akipotesa pass mbili tatu Kwa bahati mbaya atatolewa nje kwakuwa kocha anachanganyikiwa ampange yupi wapi na lini.
Djuma bhana kama hujui sehemu za Siri za kuku zilipo subiri upepo mkali uvume. Jamaa wamekuegesha Tu hapo wakisubiri Patrick aboronge, asipoboronga utaendelea kuwekwa kwapani hadi uchache.