Mtaule mgunda
Senior Member
- Jan 25, 2014
- 193
- 61
Husika na maada,ukiangalia ni thread zangu nyingi katika jukwaa hili lilikua linauliza au kuzungumzia maswala yachunusi.
Nilishauliwa mengi sana,,kwanza nilitumia (magadi soda) hii ilianza kunisaidia kidogo lakini baadae ilnibabua sana, yan uso ulikua hautamaniki nikaachana nayo.
Pili nikatumia limao, ikawa inasaidia kidgo sana,nmetumia limao kwa miezi zaid ya 2,lakini mabadiliko ni madogo.
3Nimetumia Asali,nayo sikuona mabadiliko chanya ,, hapo n
Nilishauliwa mengi sana,,kwanza nilitumia (magadi soda) hii ilianza kunisaidia kidogo lakini baadae ilnibabua sana, yan uso ulikua hautamaniki nikaachana nayo.
Pili nikatumia limao, ikawa inasaidia kidgo sana,nmetumia limao kwa miezi zaid ya 2,lakini mabadiliko ni madogo.
3Nimetumia Asali,nayo sikuona mabadiliko chanya ,, hapo n