Zanzibar-ASP
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 11,550
- 40,697
ushawah kutumia mkuu??Mmh!
Hapo umelizwa.
Hiyo ni kama ganzi tu, hizo chunusi zitakuja kulipuka kwa spidi ya mwendokasi.
ushawah kutumia mkuu?Hyo ni tube yenye cream ndani yake, utakuwa laini uso na kuwa mweupe chunusi zitaisha ila ukiacha tu kupaka ni majanga na ukipaka mda mrefu pia itazoea ngozi na chunusi zitarudi
Nakushauri : Jikubali
asante mkuu,hyo top lemon inasaidia nnUkimaliza anza kutumia top lemon itakusaidia
Hapana mkuu ila Dada yangu ni muhanga mzuri tu... Ila sasa kajikubali nakuona kawaidaushawah kutumia mkuu?
dawa gan iyoHusika na maada,ukiangalia ni thread zangu nyingi katika jukwaa hili lilikua linauliza au kuzungumzia maswala yachunusi...
Mkuu kumtibu mgonjwa bila kumuona haswa kwa magonjwa ya ngoz si vzurspidernyoka dawa ipi hiyo mkuu
UnafanyajeMimi Nina ngozi ya mafuta,nimetumia asali na mdarasini nimepona