Jacobus JF-Expert Member Joined Mar 29, 2011 Posts 4,703 Reaction score 1,724 Jan 25, 2017 #41 Mkuu, sio walichemsha. Mcheza soka mwenye lengo la mafanikio hawezi kukaa hapa, tuondokane na fikra hiyo. Vilabu vyetu hapa vipovipo tu kutuburudisha kama vikundi vya komedi.
Mkuu, sio walichemsha. Mcheza soka mwenye lengo la mafanikio hawezi kukaa hapa, tuondokane na fikra hiyo. Vilabu vyetu hapa vipovipo tu kutuburudisha kama vikundi vya komedi.
HesabuKali JF-Expert Member Joined Jan 4, 2016 Posts 2,791 Reaction score 5,687 Jan 25, 2017 #42 Mr Mikazo said: Majabvi? Khaaaa wawap ww? Click to expand... Kwa taarifa yako hilo jina ndio linavyoandikwa na sio unavyotaka liwe
Mr Mikazo said: Majabvi? Khaaaa wawap ww? Click to expand... Kwa taarifa yako hilo jina ndio linavyoandikwa na sio unavyotaka liwe