marcoveratti
JF-Expert Member
- Sep 21, 2017
- 1,019
- 1,824
SIO OFFSIDE [emoji119]Kwa mujibu wa Kipyenga cha mwisho cha Mwamuzi Mstaafu, Osman Kazi, kinachoruka Azam Sports 2 kila Alhamis Saa 3:30 usiku..... goli la AmissTambwe dhidi ya Mtibwa Sugar, HAIKUWA Offside. Lilikuwa goli halali lililokataliwa na mwamuzi msaidizi namba moja (Line One).
.
.
Kwa namna picha hiyo ilivyochorwa mstari wa mwisho kuonesha Offside, unakubaliana na Osman Kazi au hapana?...Toa maoni yako.
#tpl
#chombokwahewa
www.instagram.com
.
.
Kwa namna picha hiyo ilivyochorwa mstari wa mwisho kuonesha Offside, unakubaliana na Osman Kazi au hapana?...Toa maoni yako.
#tpl
#chombokwahewa
Soka Football Central on Instagram: “SIO OFFSIDE 🙌Kwa mujibu wa Kipyenga cha mwisho cha Mwamuzi Mstaafu, Osman Kazi, kinachoruka Azam Sports 2 kila Alhamis Saa 3:30 usiku.....…”
0 Likes, 0 Comments - Soka Football Central (@soka_app) on Instagram: “SIO OFFSIDE 🙌Kwa mujibu wa Kipyenga cha mwisho cha Mwamuzi Mstaafu, Osman Kazi, kinachoruka Azam…”