Sio Wakenya tu wanaotuzidi Ujanja, hata Warundi, Waganda na Wanywaranda pia


Uko sahihi sana mimi nachojua ukienda sehemu wewe sio muharifu kama umebeba cheti cha ubatizo utafikia hata kwa katekista unajitambulisha kama muislamu utalala hata kwa sheikh kikubwa umeenda kwa heri na hiyo ya watu kuogopa inawafanya wapende vitu vya bure wakishindwa wnageuka kua madalali wakoshindwa wanakua wezi na waongo, mimi nilikua nawaza hawa wachina wao kwa nini wanatafuta fursa africa sisi tumekaa tu? Jibu nishalipata siku hizi nikuchapa mwendo mwenyewe ukishaurisha watu watakuchelewesha
 
Mie hta cheti sibebi....appearance tu inakutambulisha tu...! Yes ukianza kuomba ushaur utakesha...!
 
Braza nichek 0754496279 nipo Buhigwe apa
 
Basi tu..hao warundi wako geita balaa mogidin full roho mbaya
 
Hii kit ujamaa ndio tatizo linalo tu cost watanzanzania mpaka leo
 
Yapo mambo mengi tunayadharau ila kwa wengine ni faida...
 
Mada nzur
Basi tu..hao warundi wako geita balaa mogidin full roho mbaya
Migodini warundi hawacheki na kima wakipata chao, lakini unaona watz wakipata na ujamaa wao full kujipendekeza! Ni kweli dawa ni ku venture away from comfort zone, na uthubutu( kitu ambacho watz hatuna!)

Sent from my Infinix X572 using JamiiForums mobile app
 
Sawa mzee tumekuelewa.
 
Watanzania tumeridhika na maisha. Tumevimbiwa na amani pia. Wengi wetu tuko tu hapa TZ na hata ikitokea fursa nje ya Tanzania huwa hatudumu muda mrefu tunarudi nyumbani. Pia tunajua lugha moja tu ya kiswahili. Hao wa nchi nyingine wengi hujua lugha zaidi ya moja kwahiyo kujichanganya ni rahisi. Kwa mfano wanyarwanda wengi wanajua kiingereza na kifaransa. Ila sisi tupo tu na kiswahili chetu. TUAMKE
 
Nani atatuamsha kwenye usingizi mzito tulionao, Wenzetu wapanapambana kuzitafuta, lakini kwetu nyingi Wala si za kutafuta lakini tumekua wazito sana , Mungu atusaidie tuamke
 
Wale jamaa hata ukiwakuta kwa meza yao kuna nafasi ukisema ukae hawaongei kitu...yaan hapana aisee full ubaguzi...
 
Woi hapa Africa mashariki
1. Kenya
2. Tanzania
3. Uganda
4.Rwanda
Burundi hata usiwataje wajinga wa mwisho kabisa
Walitawaliwa kibabe mda mrefu wakawa wajinga...
Mwendazake ndio alikuwa anatupeleka huko
 
Niliishi kasulu wakati nasota kutafuta life ,Nilioajiriwa nilitaman nirud tena huko target ni kilimo na ufugaji ila bahati mbaya kila nikiomba kuhama nafelishwa tu
 
Leo ndiyo nimepata kisa kamili nilikua naskia tu kleruu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…