Sio Wakenya tu wanaotuzidi Ujanja, hata Warundi, Waganda na Wanywaranda pia

Ww ushapata madola mang'apu hapo kigoma?
Tuanzie hapo
 
Niliishi kasulu wakati nasota kutafuta life ,Nilioajiriwa nilitaman nirud tena huko target ni kilimo na ufugaji ila bahati mbaya kila nikiomba kuhama nafelishwa tu
Karibu sana mkuu kwa sasa kumenoga ingawa kuhusu kilimo kama ulikuwa ukitegemea pori au mashamba ya kagera nkanda kwa sasa yamezuiliwa na kuchukuliwa na shirika la hifadhi (TANAPA, ) so unaweza tumia mashamba yaliyoko karibu ila utatumia kilimo cha kisasa cha mbolea nyingi ili kupata mazao mengi kama utafanikiwa kurudi karibu sana,
asante
 
Huo ujamaa utaondolewa baada ya sisi kutumia muda vizuri, wenzetu wamefundishwa thamani ya muda ndo maana wako hivyo, sisi tujitahidi kupinga mambo yanayotupotezea muda Kama kushinda kanisani siku nzima, bar usiku mzima, mikutano wakati wa kazi, msiba mwezi mzima watu hawaziki ni kula na soga peke yake, vikao vya harusi mwaka mzima, yaani mtu analazimishwa kutumia muda wake vibaya wakati wenzetu wanafanyakazi usiku na mchana na muda wa kupoteza hawana, hasa vijana tukiwa na nguvu tunatumia muda vibaya kwasababu ya ujamaa na mambo yanalazimisha tuchezee muda.
 
Uswahili mwingi Tz
 
Shamba la kanisa[emoji1787][emoji1787], sadaka zinaenda italy
 
Na bado Wasukuma wanaichangamkia ardhi si mchezo.Kufikia mwaka 2090, 60% ya ardhi ya nchi hii nitakuwa ni mali yao.Nenda Kigoma,Katavi,Mbeya,Ruvuma,n.j uone wanavyonunua mashamba na kufyeka mapoli.

Na hawa ni Watanzania wenzetu wanaojua thamani ya ardhi.
 
Tozo zipi? Sawa Tozo Ok, ila vipi Wakenya wanakuja hadi kulimia huku kwetu vipi hilo?
Ni kweli wakenya wanakuja kwetu kulima, lakini mjue kuna watanzania wengi tuu wanalima kenya wengine wamefungua hadi biashara zingine nje ya kilimo, hivyo ni issue ya kuangalia ni wapi panakufaa. Mimi kuna jamaa ni jirani yangu yuko vzr tu, analima na ameajiri vijana wengi toka kijijini, Na sio kenya tu wako watanzania wako South Africa na zambia kwa uchache tu nimetaja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…