Mropoka Hovyo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2023
- 446
- 1,253
Baba mkwe wa Bariadi usimlaumu badala yake mshukuru.Damn wazee nipo Dom Kondoa Kuna visu hakuna mfano. Nimeamu nifanye yafuatayo
1. Siondoki tena Kondoa.
2. Nimempigia baba mkwe kule Bariadi na
nimemwambia wale Ng'ombe kumi 14 waliowataka Ili waniozeshe binti yao wasahau.
3. Mchepuko wangu wa kinyiramba pale singida siutaki Tena japo roho inaniuma sana kuuacha.
4. Nimemsamehe yule Binti wa kichaga rasmi aliyeniacha kwenda kuolewa na mwenye nazo miaka sita iliyopita.
NB: Namlaumu sana baba mkwe wa Bariadi.
Naomba huyo mcheps wako wa kinyiramba hapo singidani basiDamn wazee nipo Dom Kondoa Kuna visu hakuna mfano. Nimeamu nifanye yafuatayo
1. Siondoki tena Kondoa.
2. Nimempigia baba mkwe kule Bariadi na
nimemwambia wale Ng'ombe kumi 14 waliowataka Ili waniozeshe binti yao wasahau.
3. Mchepuko wangu wa kinyiramba pale singida siutaki Tena japo roho inaniuma sana kuuacha.
4. Nimemsamehe yule Binti wa kichaga rasmi aliyeniacha kwenda kuolewa na mwenye nazo miaka sita iliyopita.
NB: Namlaumu sana baba mkwe wa Bariadi.
Mkuu hii imekaaje maana kuna manzi ya huko kondoa nahisi imenipa syphilisHuko hakufai
Ukipewa na kaswende pia utuambie tuanze kukuandalia azuma
JichanganyeniWarangi ndio wife material duniani nzima
Kuanzia kuvaa kupika hadi kuongea ni top top level
pole sana kwa kudondokea kwa wakaanga sumu.Damn wazee nipo Dom Kondoa Kuna visu hakuna mfano. Nimeamu nifanye yafuatayo
1. Siondoki tena Kondoa.
2. Nimempigia baba mkwe kule Bariadi na
nimemwambia wale Ng'ombe kumi 14 waliowataka Ili waniozeshe binti yao wasahau.
3. Mchepuko wangu wa kinyiramba pale singida siutaki Tena japo roho inaniuma sana kuuacha.
4. Nimemsamehe yule Binti wa kichaga rasmi aliyeniacha kwenda kuolewa na mwenye nazo miaka sita iliyopita.
NB: Namlaumu sana baba mkwe wa Bariadi.
Naona we mtoto ukikua utajua ndoa haihitaji visu inahitaji wife materialDamn wazee nipo Dom Kondoa Kuna visu hakuna mfano. Nimeamu nifanye yafuatayo
1. Siondoki tena Kondoa.
2. Nimempigia baba mkwe kule Bariadi na
nimemwambia wale Ng'ombe kumi 14 waliowataka Ili waniozeshe binti yao wasahau.
3. Mchepuko wangu wa kinyiramba pale singida siutaki Tena japo roho inaniuma sana kuuacha.
4. Nimemsamehe yule Binti wa kichaga rasmi aliyeniacha kwenda kuolewa na mwenye nazo miaka sita iliyopita.
NB: Namlaumu sana baba mkwe wa Bariadi.
Naamini aliyekomenti hili si mmiliki simu hiiNdoa ni jambo jema