Siongei Tena English.............!!!!!!!!

Siongei Tena English.............!!!!!!!!

Ambiele Kiviele

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2014
Posts
15,267
Reaction score
29,917
SIONGEI ENGLISH TENA:

Amini usiamini ENGLISH ni Lugha ya wanyama na ndege, kwani:-

PAKA:Ukimcheleweshea maziwa utasikia anasema NOW, NOW!

NG'OMBE:Naye acposhiba utamsikia MORE, MORE!

MBWA:Ukipita karibu na kwao kama hakujui
lazima atakuuliza WHO,WHO!

KIFARANGA:Kikitotolewa utakisikia kikisema NEW, NEW!

MBUZI: nao ni masharobaro kweli utawasikia
MEN,MEN!

Hii kweli hatari acha kujaribu kimoyomoyo soma kwa sauti.
[emoji2][emoji2][emoji2]

Kiviere Wa Usangi
 
SIONGEI ENGLISH TENA:

Amini usiamini ENGLISH ni Lugha ya wanyama na ndege, kwani:-

PAKA:Ukimcheleweshea maziwa utasikia anasema NOW, NOW!

NG'OMBE:Naye acposhiba utamsikia MORE, MORE!

MBWA:Ukipita karibu na kwao kama hakujui
lazima atakuuliza WHO,WHO!

KIFARANGA:Kikitotolewa utakisikia kikisema NEW, NEW!

MBUZI: nao ni masharobaro kweli utawasikia
MEN,MEN!

Hii kweli hatari acha kujaribu kimoyomoyo soma kwa sauti.
[emoji2][emoji2][emoji2]

Kiviere Wa Usangi
Lugha zingine bana
 
Back
Top Bottom