Mashabiki wa timu za shirikisho wana kiherehereUtopolo nayo. What a waste
Sasa mkuu wakilisho lako kama vile ww kolo unataka huruma ya TFFMimi sio kolo mkuu hebu tuheshimiane
Me sio kolo ila c tyr wameshafanya usajil mpya? ππTufanye simba kashika nafasi ya pili, kwa ule mpira wao tia maji tia maji unafikiri angekua na uhakika wa kuwatoa hao APR na pyramids ili afike group stage?
Mayele anakuja tetema hapa chamazi au sioKwa utoto alioufanya Azam msimu uliopita akashindwa kufuzu shirikisho vs sijui kale ka timu ka wapi sioni Azam akicheza champions league msimu ujao
Azam akishinda mechi ya kwanza hatua za awali anatakiwa apambane na fc Pyramids ya Misri, tena anaanzia Chamazi anaenda kumalizia Misri sioni akaiwatoa Pyramids
Tanzania itawakilishwa na timu Moja tu cl ijayo, what a waste
Usajiri unafanywa na boss geto kwake dubai we ushawahi kuona wapiMe sio kolo ila c tyr wameshafanya usajil mpya? ππ
Kama ni ivo bc sawa wajiandae ten msimu ujaoUsajiri unafanywa na boss geto kwake dubai we ushawahi kuona wapi
Azam FCTulisema mapema, kwa mustakabali Mpana wa ligi yetu Bora hata kolo awe anamaliza wa pili, kolo asingefungwa na Hawa apr