Sioni faida ya kalio kubwa kitandani

Urefu na wembamba....yaani mwili wa kawadia..

Awe mzungu, mchina, mjapan, Mweusi kama lami au mweupe Kama Mimi(hahahaha).... Sawa TU..

Vigezo na masharti kuzingatiwa.
 
Naunga mkono hoja hata mm sioni kabisa faida ya kuwa na Tako kubwa. Mi napenda madem model hivi. Sio akina shilole sijui snura na takataka kama hizo.

Kunywa soda mkuu nalipia
 
Huu uzi wa huyu mkulungwa siamini Kama ni wakwake mbona ana akili Sana.
 
Trakoo muhimuu hata ukivaa nguo inapendeza asa vitako vidogo kama visigino vya nini[emoji1787][emoji1787]
Haaa haaa haaa mtaacha wadada wakavae sponge sasa huko wanakovuaga nguo sijui huwa wanajibu nini [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kalio linathamani ndiyo maana linasemwa semwa sana na kutajwa tajwa, hivi wapishane wadada 2 mwenye kalio na mwenye flat wapi shingo zitazungushwa tuwe wakweli bila ushabiki kwasababu huna, au baby wako hana,[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Sisi wanaume ndiyo tunajua faida yake wewe huwezi kujua sana sana utaponda kama huna na unamuonea wivu mwenzio aliye nalo. Hivi kweli shundu kama hili ni la kulipotezea?

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…