ACHA UTANI BASI.....
manengelo mskie huyu
mods naowaomba sana mfute uzi
awezi kufananisha MATAKO na vitu ajabu ajabu
Kwani mkuu mwanaume mwenye six pack anazitumia kitandani?ni mvuto tu hata wa huko chumbani
Huwezi kufananisha mwenye kalio na asiye nalo katika kuhamasisha/kutamanisha
Huwezi kufananisha mwenye six pack na mwenye kitambi katika kutamanisha
Japo tunashukuru kwa faraja yako kwa wasio/tusio nayo ila tako lina amsha amsha zake katika hizo mambo
Mkuu utakuwa na flat screen wewe..kalio kubwa mbwembwe tu kwa ajili ya show off otherwise flat screen ndo mpango mzima
Kwa harakaharaka wanaume wengi wanapenda tacore ila kwa matumizi ya kuliangalia tu[emoji19][emoji19][emoji19][emoji19]