NgerukeAbra
JF-Expert Member
- Sep 5, 2022
- 1,336
- 2,008
Ishu ni pesa sio elimu ya chuo,kama una maarifa ya kuingiza mkwanja piga chini elimu ya chuo!Ajira ngumu,
Kupoteza muda,
Kupoteza pesa ambayo kiuhalisia ungepata mtaji wa kuanzisha biashara.
Kuingia madeni yasio ya lazima, (mikopo)
Elimu haikidhi viwango vya mabadiliko ya kiuchumi na kisayansi.
Walio na vyeti mtaani hawahesabiki.
High school is a necessity, but collage is a choice.~Kanye West
Kuna watu ni bodaboda mwaka wa 6 huu. Degree haijawahi kurejesha hata buku iliyotumika kwenye ada. Mleta mada yuko sahihi.Acha ujinga degree itakulipa siku moja, hata ukichelewa ila Itakulipa tu punguza papara..!
Sahihi, mkuu chuo ni kupoteza mda kama huna connection. Kikubwa kama ulivyosema, maarifa ndo point muhimu sio chuo.Ishu ni pesa sio elimu ya chuo,kama una una maarifa ya kuingiza mkwanja piga chini elimu ya chuo!
Ungesema unaacha kutafuta pesa ningekushangaa.
Watu wengi bado wanadhana potofu kuhusu degree, ni kama wameamninshwa bado ina manufaa! Ambapo kama hutoajiliwa na kujiajiri huna tofauti na mwenye cheti cha form 4Kuna watu ni bodaboda mwaka wa 6 huu. Degree haijawahi kurejesha hata buku iliyotumika kwenye ada. Mleta mada yuko sahihi.
Hii ya kutiana moyo kuwa kuna siku degree italipa siyo guarantee.
waambie wajitahidi jumatatu wasikose kwenda...!Asante kwa kutoa mchongo mkuu, ngoja niwastue wenye uhitaji.