mugah di matheo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 6,307
- 12,410
Onyango na Kanute watakosekana kutokana na kadi 3 za njano katika mchezo wa mkondo wa kwanza hapa Nyumbani dhidi ya Orlando pirate
Lakini sioni Pengo kwa kuwa mchezo huo utahitaji kushambulia zaidi basi itakuwa vizuri zaidi kwa Kuwa na Wawa ambaye atapush mashambulizi huku mkude akisogea juu zaidi kumuacha Lwanga aditect mashambulizi ya wapinzani.
Sioni Kama hilo ni Pengo kubwa
Lakini sioni Pengo kwa kuwa mchezo huo utahitaji kushambulia zaidi basi itakuwa vizuri zaidi kwa Kuwa na Wawa ambaye atapush mashambulizi huku mkude akisogea juu zaidi kumuacha Lwanga aditect mashambulizi ya wapinzani.
Sioni Kama hilo ni Pengo kubwa