Sioni sababu ya kuwaombea wapiga kura wako wanyimwe misaada kimataifa

Sioni sababu ya kuwaombea wapiga kura wako wanyimwe misaada kimataifa

Elitwege

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2017
Posts
5,294
Reaction score
10,970
Mbunge Lisu baada ya kupona majeruhi yake ametangaza kwa mbwembwe kuanza ziara ya kuichafua nchi yake Tanzania huko barani Ulaya na USA.

Lisu ametangaza wazi lengo la ziara yake ni kwenda kushawishi nchi wahisani ziinyime misaada Tanzania!
Lisu anasahau kuwa Tanzania ikinyimwa misaada hata wananchi wake waliompigia kura kule Singida nao watakufa njaa vibaya sana.
Lisu amepigwa risasi na kikundi kidogo cha watu lakini anahukumu taifa zima wakiwemo wapiga kura wake wa Singida nao waisome namba eti kisa tu yeye alishambuliwa kwa risasi!! Hivi Tanzania aliyepigwa risasi ni Lisu tu??

Hata hivyo pamoja na nia ovu ya Lisu bado Mungu yupo pamoja na watanzania baada ya ziara ya Lisu kupuuzwa na vyombo vya habari vya kimataifa vikiwemo vya hao wazungu aliokimbilia kwenda kujipendekeza kwao.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbunge Lisu baada ya kupona majeruhi yake ametangaza kwa mbwembwe kuanza ziara ya kuichafua nchi yake Tanzania huko barani Ulaya na USA.

Lisu ametangaza wazi lengo la ziara yake ni kwenda kushawishi nchi wahisani ziinyime misaada Tanzania!
Lisu anasahau kuwa Tanzania ikinyimwa misaada hata wananchi wake waliompigia kura kule Singida nao watakufa njaa vibaya sana.
Lisu amepigwa risasi na kikundi kidogo cha watu lakini anahukumu taifa zima wakiwemo wapiga kura wake wa Singida nao waisome namba eti kisa tu yeye alishambuliwa kwa risasi!! Hivi Tanzania aliyepigwa risasi ni Lisu tu??

Hata hivyo pamoja na nia ovu ya Lisu bado Mungu yupo pamoja na watanzania baada ya ziara ya Lisu kupuuzwa na vyombo vya habari vya kimataifa vikiwemo vya hao wazungu aliokimbilia kwenda kujipendekeza kwao.



Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe jamaa njaa itakuuwa. Umejaa usenge usenge tu.
 
Mbunge Lisu baada ya kupona majeruhi yake ametangaza kwa mbwembwe kuanza ziara ya kuichafua nchi yake Tanzania huko barani Ulaya na USA.

Lisu ametangaza wazi lengo la ziara yake ni kwenda kushawishi nchi wahisani ziinyime misaada Tanzania!
Lisu anasahau kuwa Tanzania ikinyimwa misaada hata wananchi wake waliompigia kura kule Singida nao watakufa njaa vibaya sana.
Lisu amepigwa risasi na kikundi kidogo cha watu lakini anahukumu taifa zima wakiwemo wapiga kura wake wa Singida nao waisome namba eti kisa tu yeye alishambuliwa kwa risasi!! Hivi Tanzania aliyepigwa risasi ni Lisu tu??

Hata hivyo pamoja na nia ovu ya Lisu bado Mungu yupo pamoja na watanzania baada ya ziara ya Lisu kupuuzwa na vyombo vya habari vya kimataifa vikiwemo vya hao wazungu aliokimbilia kwenda kujipendekeza kwao.



Sent using Jamii Forums mobile app
Subiri upigwe risasi nawewe kisha uje hapa kuandika haya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbunge Lisu baada ya kupona majeruhi yake ametangaza kwa mbwembwe kuanza ziara ya kuichafua nchi yake Tanzania huko barani Ulaya na USA.

Lisu ametangaza wazi lengo la ziara yake ni kwenda kushawishi nchi wahisani ziinyime misaada Tanzania!
Lisu anasahau kuwa Tanzania ikinyimwa misaada hata wananchi wake waliompigia kura kule Singida nao watakufa njaa vibaya sana.
Lisu amepigwa risasi na kikundi kidogo cha watu lakini anahukumu taifa zima wakiwemo wapiga kura wake wa Singida nao waisome namba eti kisa tu yeye alishambuliwa kwa risasi!! Hivi Tanzania aliyepigwa risasi ni Lisu tu??

Hata hivyo pamoja na nia ovu ya Lisu bado Mungu yupo pamoja na watanzania baada ya ziara ya Lisu kupuuzwa na vyombo vya habari vya kimataifa vikiwemo vya hao wazungu aliokimbilia kwenda kujipendekeza kwao.



Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa kipofu anaonaje kwa mfano!
 
Mbunge Lisu baada ya kupona majeruhi yake ametangaza kwa mbwembwe kuanza ziara ya kuichafua nchi yake Tanzania huko barani Ulaya na USA.

Lisu ametangaza wazi lengo la ziara yake ni kwenda kushawishi nchi wahisani ziinyime misaada Tanzania!
Lisu anasahau kuwa Tanzania ikinyimwa misaada hata wananchi wake waliompigia kura kule Singida nao watakufa njaa vibaya sana.
Lisu amepigwa risasi na kikundi kidogo cha watu lakini anahukumu taifa zima wakiwemo wapiga kura wake wa Singida nao waisome namba eti kisa tu yeye alishambuliwa kwa risasi!! Hivi Tanzania aliyepigwa risasi ni Lisu tu??

Hata hivyo pamoja na nia ovu ya Lisu bado Mungu yupo pamoja na watanzania baada ya ziara ya Lisu kupuuzwa na vyombo vya habari vya kimataifa vikiwemo vya hao wazungu aliokimbilia kwenda kujipendekeza kwao.



Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo mnyoa kiduku misheni yake itafeli. Afadhali atafute mikakati mingine lakini sio kujilengesha kwa wazungu wa "miga".
 
..uvccm kila siku mmekuwa mkidai Tz haihitaji misaada ya mabeberu.

..sasa leo ametokea mpinzani anayewaunga mkono mnageuka na kumshutumu.

..hata majuzi nimemsikia Raisi akisema misaada inalemaza.

..kwa hiyo mnapaswa kumpongeza TL kwa kukubaliana na hoja za Raisi na UVCCM.
 
Hicho "kikundi kidogo cha watu" kama ulivyokiita kilichommiminia Lissu risasi pamoja na wale waliokituma ndiyo anaoenda kuwa'expose,hivyo kama wewe hauhusiki direct au indirect na pia si shabiki wa lile tukio au wahusika wake basi usiwe na hofu yoyote.
Acha kwanza dunia ijue kilichotokea na hayo mengine yatakuwa ni matokeo tu.
 
Elitwege unahainga na huyo PUNGUANI?

Yaani anaombea tupate shida ili tuje kumchagua kuwa kiongozi wetu?

Hi ina maana kwamba mtu huyu ni mbinafsi wa kupitiliza na ndio mana licha ya kutibiwa na ma LGBT wenzake na kupona bado analilia pesa za Watanzania apewe "Bunge".

Anajiskiaje atakapokuja kutuongoza tukiwa tumekufa, dhoofika na kupoteza muelekeo wa kiuchumi kisa kutopata misaada ya maendeleo ambayo Sasa anashawishi tunyimwe?

All in all sijawahi kumuwazia kuwa turufu ya kutuongoza sbb hana hiyo KARAMA.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbunge Lisu baada ya kupona majeruhi yake ametangaza kwa mbwembwe kuanza ziara ya kuichafua nchi yake Tanzania huko barani Ulaya na USA.

Lisu ametangaza wazi lengo la ziara yake ni kwenda kushawishi nchi wahisani ziinyime misaada Tanzania!
Lisu anasahau kuwa Tanzania ikinyimwa misaada hata wananchi wake waliompigia kura kule Singida nao watakufa njaa vibaya sana.
Lisu amepigwa risasi na kikundi kidogo cha watu lakini anahukumu taifa zima wakiwemo wapiga kura wake wa Singida nao waisome namba eti kisa tu yeye alishambuliwa kwa risasi!! Hivi Tanzania aliyepigwa risasi ni Lisu tu??

Hata hivyo pamoja na nia ovu ya Lisu bado Mungu yupo pamoja na watanzania baada ya ziara ya Lisu kupuuzwa na vyombo vya habari vya kimataifa vikiwemo vya hao wazungu aliokimbilia kwenda kujipendekeza kwao.



Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo sasa, kumbe misaada ya "mabeberu na mashogaa" ni mitamu
 
Nimegundua Lisu anawanyima sana usingizi upande wa pili,sioni sababu ya kutoa mapovu kiasi hicho,hatutaki misaada ya mabeberu anachokifanya lisu anawasaidia kufikisha taarifa physically kama mtanzania kuwa hatutaki misaada na kweli hatuitaki inalemaza sasa mbona mnamlaumu tena! Mimi nasema lisu saidia kuwambua siye hatutaki nsaada,cheee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbunge Lisu baada ya kupona majeruhi yake ametangaza kwa mbwembwe kuanza ziara ya kuichafua nchi yake Tanzania huko barani Ulaya na USA.

Lisu ametangaza wazi lengo la ziara yake ni kwenda kushawishi nchi wahisani ziinyime misaada Tanzania!
Lisu anasahau kuwa Tanzania ikinyimwa misaada hata wananchi wake waliompigia kura kule Singida nao watakufa njaa vibaya sana.
Lisu amepigwa risasi na kikundi kidogo cha watu lakini anahukumu taifa zima wakiwemo wapiga kura wake wa Singida nao waisome namba eti kisa tu yeye alishambuliwa kwa risasi!! Hivi Tanzania aliyepigwa risasi ni Lisu tu??

Hata hivyo pamoja na nia ovu ya Lisu bado Mungu yupo pamoja na watanzania baada ya ziara ya Lisu kupuuzwa na vyombo vya habari vya kimataifa vikiwemo vya hao wazungu aliokimbilia kwenda kujipendekeza kwao.



Sent using Jamii Forums mobile app
Kuhangaika ni kawaida ya binadamu baada ya mabaya aliyoyatenda kuwekwa wazi
 
Huyo mnyoa kiduku misheni yake itafeli. Afadhali atafute mikakati mingine lakini sio kujilengesha kwa wazungu wa "miga".
Hahahaha
Eti jamaa mnyoa kiduku, uwiii hahahaha
Amesha feli tundulissu msaliti, wadhungu wanamkebehi tu kama fala walahi
 
Back
Top Bottom