Sioni tofauti yoyote kati ya Android 10 na Android 11

Sioni tofauti yoyote kati ya Android 10 na Android 11

The Evil Genius

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2014
Posts
6,017
Reaction score
19,506
Nilipata update ya Android 11 kwenye note 20 ultra yangu wiki 2 zilizopita, juzi jumamosi nikaamua niipakue na kui-install. Kwa siku 2 hizi nimekua nikijaribu kutafta ama nione kitu cha tofauti kati ya Android 10 na Android 11, yaani One UI 2.5 na One UI 3.0 sioni tofauti yoyote ya maana.

Nilikua na hamu ya kuona kupata Android 11 kwenye simu yangu lakini kama vile nimekua disappointed, sioni kitu kipya.

Wataalam wa Android mnisaidie labda mimi ndio sijajua ku-explore hidden features za Android 11.
 
Mengi nadhani yamejikita kwenye security patches otherwise mengine ni kukuwezesha kuingia mtandaoni kama mtu mwenye android 4. Something 😂
 
Nilipata update ya Android 11 kwenye note 20 ultra yangu wiki 2 zilizopita, juzi jumamosi nikaamua niipakue na kui-install. Kwa siku 2 hizi nimekua nikijaribu kutafta ama nione kitu cha tofauti kati ya Android 10 na Android 11, yaani One UI 2.5 na One UI 3.0 sioni tofauti yoyote ya maana.

Nilikua na hamu ya kuona kupata Android 11 kwenye simu yangu lakini kama vile nimekua disappointed, sioni kitu kipya.

Wataalam wa Android mnisaidie labda mimi ndio sijajua ku-explore hidden features za Android 11.
Angalia hii video. Kuna mengi tu yameongezeka



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilipata update ya Android 11 kwenye note 20 ultra yangu wiki 2 zilizopita, juzi jumamosi nikaamua niipakue na kui-install. Kwa siku 2 hizi nimekua nikijaribu kutafta ama nione kitu cha tofauti kati ya Android 10 na Android 11, yaani One UI 2.5 na One UI 3.0 sioni tofauti yoyote ya maana.

Nilikua na hamu ya kuona kupata Android 11 kwenye simu yangu lakini kama vile nimekua disappointed, sioni kitu kipya.

Wataalam wa Android mnisaidie labda mimi ndio sijajua ku-explore hidden features za Android 11.
Mkuu vip ukaaji wa chaji wa hiyo mashine katika matumizi ya kawaida?
 
Back
Top Bottom