Sioni umuhimu wa elimu Tanzania

Sioni umuhimu wa elimu Tanzania

technically

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2016
Posts
12,706
Reaction score
52,355
Ukweli mchungu kwa mazingira ya Tanzania elimu haina maana yeyote.

Watu waliosoma vizuri uko nyuma asilimia kubwa wapo nje ya nchi wanafanyakazi na kulipwa vizuri

Waliobaki Tanzania wengi ndo wameshikilia serikali elimu yao na vyeti vyao ni tiamatiamaji!!

Mtu alipata four ya 28 akasoma certificate akapata kazi serikalini.

Akarudia mtihani akapata credit 3 akaenda kusoma masomo ya advance akapata E mbili na S moja akaenda chuo akapata degree yake sasa hivi unakuta ni katibu wa wizara.

Au baada ya certificate akasoma diploma then degree. Hawa ndio wameshikilia vyeo vya Tanzania..

Sasa tunakuja kwenye kizazi Cha 1990 kuja juu unakuta mtu darasa la 7 ana A zote form four division one ya 7, 8,9,10,11.... Mpaka division two ya 20 anaenda advance anapata one Kati ya 3-9 anaenda chuo.

Akirudi mtu anayetakiwa kumuajiri yeye alifeli anaweka ugumu anaweka mizengwe kwa kuhofia cheo chake ndio maana serikali haina competence.

Nimeandika hivi Kutoa ushahidi kuwa walimu manesi na watumishi wengi wa local government ambao ndio wanasimamia elimu na jamii kwa %kubwa walifeli shule .

Ingia halimashauri ingia primary school ingia kwenye zahanati 95% utakuta elimu yao ni form four zile score za division four!!.

Ndio maana nimesema Kama mtoto wako unataka afanikiwe au wewe binafsi ufanikiwe lazima uhakikishe wewe au mtoto wako anaanza kuonyesha Cheti Cha kidato Cha nne pekee Tena chenye division four au three ya mwisho aingie kwenye mfumo then ndio aendelee!!

Wote ni mashahidi mwaka huu walichukuliwa maaskari wenye elimu ya kidato Cha nne with division four ya 28,29 na 30!!

Halafu unasema Hawa watu wanaenda kujenga nchi.

Kama ulifeli masomo unawezaje kujenga nchi?

Tanzania haitokaa igundue technology zake Wala kufanya Jambo lake bila kuwashirikisha wazungu kwa hii style ya mifumo ya elimu.

Elimu ndio Kila kitu msome China, south Korea, Japan na Urusi wale sio Marekani lakini wamefanikiwa kwa Kila kitu kwa sababu ya elimu na kutumia wataalamu kweli!!

Mpatie mwanao ujuzi utakuja kunishukuru!!
 
Ukweli mchungu kwa mazingira ya Tanzania elimu haina maana yeyote.

Watu waliosoma vizuri uko nyuma asilimia kubwa wapo nje ya nchi wanafanyakazi na kulipwa vizuri

Waliobaki Tanzania wengi ndo wameshikilia serikali elimu yao na vyeti vyao ni tiamatiamaji!!

Mtu alipata four ya 28 akasoma certificate akapata kazi serikalini.

Akarudia mtihani akapata credit 3 akaenda kusoma masomo ya advance akapata E mbili na S moja akaenda chuo akapata degree yake sasa hivi unakuta ni katibu wa wizara.

Au baada ya certificate akasoma diploma then degree. Hawa ndio wameshikilia vyeo vya Tanzania..

Sasa tunakuja kwenye kizazi Cha 1990 kuja juu unakuta mtu darasa la 7 ana A zote form four division one ya 7, 8,9,10,11.... Mpaka division two ya 20 anaenda advance anapata one Kati ya 3-9 anaenda chuo.

Akirudi mtu anayetakiwa kumuajiri yeye alifeli anaweka ugumu anaweka mizengwe kwa kuhofia cheo chake ndio maana serikali haina competence.

Nimeandika hivi Kutoa ushahidi kuwa walimu manesi na watumishi wengi wa local government ambao ndio wanasimamia elimu na jamii kwa %kubwa walifeli shule .

Ingia halimashauri ingia primary school ingia kwenye zahanati 95% utakuta elimu yao ni form four zile score za division four!!.

Ndio maana nimesema Kama mtoto wako unataka afanikiwe au wewe binafsi ufanikiwe lazima uhakikishe wewe au mtoto wako anaanza kuonyesha Cheri Cha kidato Cha nne pekee Tena chenye division four au three ya mwisho!!

Wote no mashahidi mwaka huu walichukuliwa maaskari wenye elimu ya kidato Cha nne with division four ya 28,29 na 30!!

Halafu unasema Hawa watu wanaenda kujenga nchi.

Kama ulifeli masomo unawezaje kujenga nchi?

Tanzania haitokaa igundue technology zake Wala kufanya Jambo lake bila kuwashirikisha wazungu kwa hii style ya mifumo ya elimu.

Elimu ndio Kila kitu msome China, south Korea, Japan na Urusi wale sio Marekani lakini wamefanikiwa kwa Kila kitu kwa sababu ya elimu na kutumia wataalamu kweli!!
Hamna uhusiano wowote kati ya kujenga nchi na elimu ya Tanzania .......
 
Ukweli mchungu kwa mazingira ya Tanzania elimu haina maana yeyote.

Watu waliosoma vizuri uko nyuma asilimia kubwa wapo nje ya nchi wanafanyakazi na kulipwa vizuri

Waliobaki Tanzania wengi ndo wameshikilia serikali elimu yao na vyeti vyao ni tiamatiamaji!!

Mtu alipata four ya 28 akasoma certificate akapata kazi serikalini.

Akarudia mtihani akapata credit 3 akaenda kusoma masomo ya advance akapata E mbili na S moja akaenda chuo akapata degree yake sasa hivi unakuta ni katibu wa wizara.

Au baada ya certificate akasoma diploma then degree. Hawa ndio wameshikilia vyeo vya Tanzania..

Sasa tunakuja kwenye kizazi Cha 1990 kuja juu unakuta mtu darasa la 7 ana A zote form four division one ya 7, 8,9,10,11.... Mpaka division two ya 20 anaenda advance anapata one Kati ya 3-9 anaenda chuo.

Akirudi mtu anayetakiwa kumuajiri yeye alifeli anaweka ugumu anaweka mizengwe kwa kuhofia cheo chake ndio maana serikali haina competence.

Nimeandika hivi Kutoa ushahidi kuwa walimu manesi na watumishi wengi wa local government ambao ndio wanasimamia elimu na jamii kwa %kubwa walifeli shule .

Ingia halimashauri ingia primary school ingia kwenye zahanati 95% utakuta elimu yao ni form four zile score za division four!!.

Ndio maana nimesema Kama mtoto wako unataka afanikiwe au wewe binafsi ufanikiwe lazima uhakikishe wewe au mtoto wako anaanza kuonyesha Cheti Cha kidato Cha nne pekee Tena chenye division four au three ya mwisho aingie kwenye mfumo then ndio aendelee!!

Wote ni mashahidi mwaka huu walichukuliwa maaskari wenye elimu ya kidato Cha nne with division four ya 28,29 na 30!!

Halafu unasema Hawa watu wanaenda kujenga nchi.

Kama ulifeli masomo unawezaje kujenga nchi?

Tanzania haitokaa igundue technology zake Wala kufanya Jambo lake bila kuwashirikisha wazungu kwa hii style ya mifumo ya elimu.

Elimu ndio Kila kitu msome China, south Korea, Japan na Urusi wale sio Marekani lakini wamefanikiwa kwa Kila kitu kwa sababu ya elimu na kutumia wataalamu kweli!!
Wacha watu Wapate ajira na mifoo Yao!
 
^Sioni umuhimu wa elimu Tanzania,^ ni kauli ya kipumbavu mno kuwahi kutamkwa. Ni sawa na kusema huoni umuhimu wa tiba hospitalini. Shame on you!

Tunahitaji elimu, tena elimu bora.

Je, wewe ni akili mingi kuliko Mwalimu Juliasi aliyesema tunakabiliwa na ujinga, maradhi na umaskini? Shame on you again!
 
Kwa akili ya kiduanzi hii Bora Mzee wako angevaa kondom.


Hao manesi na madokta wenye foo walishindwa kutubu UTI na kukusafisha mfereji ulipopasuliwa Linda?

Kuwa na adabu na watu kijana na hicho kiwani chako
 
AAA za pcm halafu hata kufungua pasi huwezi! wapi uliwahi kusikia au kusoma kuwa kipimo cha elimu ya mtu ni kupata AAA za form six au A zote za o' level. We mtoto unamatatizo ya kisaikolojia. Attention span problem. Yaani unataka watu wawe na attention kwako kisa una A.
Bakhresa hana A hata moja ila ameajiri wenye A zote.
Tupo ktk harakati za kumkomboa mtu mweusi kifikra. Sasa kwa nini nyie watoto mnaendeleza tabia ya " colonized mind" ambayo ilitawala babu zenu na baba zenu.?
Ulifaa uje na title kama hii
" Jinsi wahitimu tuliopata A zote tunavyobuni mifumo ya Tehama, madawa yamifugo na mashine za kilimo".
"Jinsi tuliopata A zote tulivyofanikiwa kujiajiri na kuajiri wengine "
Umepata A zote unatamani kazi ya unesi ualimu, upolisi, uhasibu nk hivi huo sio ujinga kweli ?
 
Ukweli mchungu kwa mazingira ya Tanzania elimu haina maana yeyote.

Watu waliosoma vizuri uko nyuma asilimia kubwa wapo nje ya nchi wanafanyakazi na kulipwa vizuri

Waliobaki Tanzania wengi ndo wameshikilia serikali elimu yao na vyeti vyao ni tiamatiamaji!!

Mtu alipata four ya 28 akasoma certificate akapata kazi serikalini.

Akarudia mtihani akapata credit 3 akaenda kusoma masomo ya advance akapata E mbili na S moja akaenda chuo akapata degree yake sasa hivi unakuta ni katibu wa wizara.

Au baada ya certificate akasoma diploma then degree. Hawa ndio wameshikilia vyeo vya Tanzania..

Sasa tunakuja kwenye kizazi Cha 1990 kuja juu unakuta mtu darasa la 7 ana A zote form four division one ya 7, 8,9,10,11.... Mpaka division two ya 20 anaenda advance anapata one Kati ya 3-9 anaenda chuo.

Akirudi mtu anayetakiwa kumuajiri yeye alifeli anaweka ugumu anaweka mizengwe kwa kuhofia cheo chake ndio maana serikali haina competence.

Nimeandika hivi Kutoa ushahidi kuwa walimu manesi na watumishi wengi wa local government ambao ndio wanasimamia elimu na jamii kwa %kubwa walifeli shule .

Ingia halimashauri ingia primary school ingia kwenye zahanati 95% utakuta elimu yao ni form four zile score za division four!!.

Ndio maana nimesema Kama mtoto wako unataka afanikiwe au wewe binafsi ufanikiwe lazima uhakikishe wewe au mtoto wako anaanza kuonyesha Cheti Cha kidato Cha nne pekee Tena chenye division four au three ya mwisho aingie kwenye mfumo then ndio aendelee!!

Wote ni mashahidi mwaka huu walichukuliwa maaskari wenye elimu ya kidato Cha nne with division four ya 28,29 na 30!!

Halafu unasema Hawa watu wanaenda kujenga nchi.

Kama ulifeli masomo unawezaje kujenga nchi?

Tanzania haitokaa igundue technology zake Wala kufanya Jambo lake bila kuwashirikisha wazungu kwa hii style ya mifumo ya elimu.

Elimu ndio Kila kitu msome China, south Korea, Japan na Urusi wale sio Marekani lakini wamefanikiwa kwa Kila kitu kwa sababu ya elimu na kutumia wataalamu kweli!!

Mpatie mwanao ujuzi utakuja kunishukuru!!
Inaonekana una changamoto sana mkuu, yaani ukishasema huoni umuhimu wa elimu unakuwa na tatizo mahala fulani.
 
Vyeti ni makaratasi tu,tunaangalia ujuzi,kuna watu wana degree ila utendaji wao ni finyu kuliko mwenye Diploma au certificate
Hususani sekta kama elimu unakuta mwalimu wa degree lakini utendaji wake hadi unaona aibu
 
Ukweli mchungu kwa mazingira ya Tanzania elimu haina maana yeyote.

Watu waliosoma vizuri uko nyuma asilimia kubwa wapo nje ya nchi wanafanyakazi na kulipwa vizuri

Waliobaki Tanzania wengi ndo wameshikilia serikali elimu yao na vyeti vyao ni tiamatiamaji!!

Mtu alipata four ya 28 akasoma certificate akapata kazi serikalini.

Akarudia mtihani akapata credit 3 akaenda kusoma masomo ya advance akapata E mbili na S moja akaenda chuo akapata degree yake sasa hivi unakuta ni katibu wa wizara.

Au baada ya certificate akasoma diploma then degree. Hawa ndio wameshikilia vyeo vya Tanzania..

Sasa tunakuja kwenye kizazi Cha 1990 kuja juu unakuta mtu darasa la 7 ana A zote form four division one ya 7, 8,9,10,11.... Mpaka division two ya 20 anaenda advance anapata one Kati ya 3-9 anaenda chuo.

Akirudi mtu anayetakiwa kumuajiri yeye alifeli anaweka ugumu anaweka mizengwe kwa kuhofia cheo chake ndio maana serikali haina competence.

Nimeandika hivi Kutoa ushahidi kuwa walimu manesi na watumishi wengi wa local government ambao ndio wanasimamia elimu na jamii kwa %kubwa walifeli shule .

Ingia halimashauri ingia primary school ingia kwenye zahanati 95% utakuta elimu yao ni form four zile score za division four!!.

Ndio maana nimesema Kama mtoto wako unataka afanikiwe au wewe binafsi ufanikiwe lazima uhakikishe wewe au mtoto wako anaanza kuonyesha Cheti Cha kidato Cha nne pekee Tena chenye division four au three ya mwisho aingie kwenye mfumo then ndio aendelee!!

Wote ni mashahidi mwaka huu walichukuliwa maaskari wenye elimu ya kidato Cha nne with division four ya 28,29 na 30!!

Halafu unasema Hawa watu wanaenda kujenga nchi.

Kama ulifeli masomo unawezaje kujenga nchi?

Tanzania haitokaa igundue technology zake Wala kufanya Jambo lake bila kuwashirikisha wazungu kwa hii style ya mifumo ya elimu.

Elimu ndio Kila kitu msome China, south Korea, Japan na Urusi wale sio Marekani lakini wamefanikiwa kwa Kila kitu kwa sababu ya elimu na kutumia wataalamu kweli!!

Mpatie mwanao ujuzi utakuja kunishukuru!!

Elimu ni kitu binafsi na ni kitu cha umma pia. Elimu ya kwanza inaanza kwenye familia. Na makosa yaanzia hapo. Nani katudanganya kuwa elimu ni lazima usome degree, hata kama anayesoma hayujui hata sababu za kuwa darasani kusomea degree hiyo?

Mfumo mzuri wa kusoma ni ule unaotoa fursa kwa msomaji kusoma skills zinazoendana na mahitaji ya aina tofauti tofauti kwenye hii dunia.

Globally, kuna skills zenye demand kubwa sana na hazihitaji hizi degree zisizoeleweka ambazo zimejaa kila chuo sasa hivi.

Wazazi na serikali, kwa pamoja, tushirikiane kupigia debe watoto wetu wasome vitu ambavyo vinawapa nafasi ya kuwa wachezaji kwenye ulimwengu huu wa leo
 
Back
Top Bottom