technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 12,706
- 52,355
Watanzania tunatakiwa kujitoa kuitafuta katiba na tume huru kwa udi na uvumba wanasiasa wetu mnawajuwa wenyewe. tunatakiwa kuingia barabarani maelfu kwa mamia kudai katiba ya warioba na tume huru ya uchaguzi.
Ni aibu sana kizazi cha 1980 kuja leo kuwa na katiba mbovu kiasi kile hata watu mil moja tukiingia barabarani kudai katiba kweli tutaumia lakini lazima katiba itapatikana.
Vyama wanaangalia maslahi yao tu hakuna cha maana wanaweza fanya katiba ya Warioba ipo tayari lakini miaka 5 imepita watu wameilalia pamoja na mabilion iliyotumia. nashauri tudai katiba kwa faida ya kizazi chetu na kijacho au warudishe pesa zetu walizotumia.
Miaka hii 5 hakuna mtu ambaye ajapata somo kwamba katiba bora ni muhimu kwa taifa.
Angalia tulivyozimiwa bunge kinyume, Watu walivyovunjiwa nyumba kinyume kimara na etc, bunge lilivyoendeshwa ovyo, CAG alivyofukuzwa kazi kwa dharau, Magufuli kavunja katiba mara kibao mpaka kwenye kuteua wabunge.
Bila kuacha uoga na kuingia street sioni katiba ya Warioba na Tume Huru.
Ni aibu sana kizazi cha 1980 kuja leo kuwa na katiba mbovu kiasi kile hata watu mil moja tukiingia barabarani kudai katiba kweli tutaumia lakini lazima katiba itapatikana.
Vyama wanaangalia maslahi yao tu hakuna cha maana wanaweza fanya katiba ya Warioba ipo tayari lakini miaka 5 imepita watu wameilalia pamoja na mabilion iliyotumia. nashauri tudai katiba kwa faida ya kizazi chetu na kijacho au warudishe pesa zetu walizotumia.
Miaka hii 5 hakuna mtu ambaye ajapata somo kwamba katiba bora ni muhimu kwa taifa.
Angalia tulivyozimiwa bunge kinyume, Watu walivyovunjiwa nyumba kinyume kimara na etc, bunge lilivyoendeshwa ovyo, CAG alivyofukuzwa kazi kwa dharau, Magufuli kavunja katiba mara kibao mpaka kwenye kuteua wabunge.
Bila kuacha uoga na kuingia street sioni katiba ya Warioba na Tume Huru.