Sawa, ntakua naperuziMkuu usicheke we subiri mazishi yaishe uone shughuli yake
Hapo sasa,jichojicho,jicho nyanya.Majicho vip?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kweli alimficha first gentleman wetuIla huyu mama maisha ya familia yake yapo usiri sana.
Leo ndio nimemuona mumewe...
Hiva kama ana wake wa4 nao wote watalindwa[emoji848][emoji848]Huyu mumewe huenda akawa ni wale wababa waliopigwa shuntama,wanakuwa hawatoki nyumbani
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Macho yako mama yatakuponza, nakumbuka maalim alivyokua akichorwa na macho yake yale
RIP Maalim Seif
[emoji23][emoji23][emoji23]Hapo sasa,jichojicho,jicho nyanya.
Kwakweli mama Samia achoshi kumtizama.
Kabisa...[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kweli alimficha first gentleman wetu