Sasa hivi imekuwa kama kawaida kuona huu mtindo ndani ya sentensi. Mpaka wanahabari kwenye TV nao wamo. Jana tu nimesikia mmoja akiasa serikali kutoa dawa za bure kwa wenye kisukari akianza na "Serikali kama serikali inabidi ...".
Mifano mingine:
Serikali kama serikali inabidi iwajali watu wake.
Mwanafunzi kama mwanafunzi anatakiwa apende masomo yake.
Mtu kama mtu inabidi uwe makini.
Nchi kama nchi ipiganie amani.
Raisi kama raisi inabidi awasikilize waliomchagua.
Kwani wakisema hivi inabadilisha maana?
Serikali inabidi iwajali watu wake.
Mwanafunzi anatakiwa apende masomo yake.
Mtu inabidi uwe makini.
Nchi ipiganie amani.
Raisi inabidi awasikilize waliomchagua.
Unadhani hii imesababishwa na nini?
Mimi kwa maoni yango ni kwamba mtu anahisi sentensi anayotaka kuitoa haina nguvu sana, sasa anaona kama akiifanya iwe ndefu kidogo inaweza ikawa inanguvu zaidi. Na mara nyingi hii hutumiwa sana pale mtu anapotaka kuasa kwamba kitu fulani kifanyike. Bado sijasikia kitu kama "gari kama gari ikaondoka", maana ntaanguka. lol
Nimetafuta kwa google kuarasa zenye "serikali kama serikali", nikapata hizi:
Parliament of Tanzania
Parliament of Tanzania
http://watanzaniaoslo.blogspot.com/2008/01/jk-eleven-ivunjwe-yote-ansbert-ngurumo.html
http://tarishi.wordpress.com/category/uncategorized/
http://www.ipp.co.tz/ipp/alasiri/2005/02/16/32668.html
http://www.habarileo.co.tz/kitaifa/index.php?id=9433 (Waziri kasema)
http://www.raiamwema.co.tz/08/04/16/rioba.php
http://mjengwa.blogspot.com/2007/12/bao.html
http://www.bunge.go.tz/bunge/ContrLst.asp?vpkey=1189&pterm=2005-2010&index=9
Mifano mingine:
Serikali kama serikali inabidi iwajali watu wake.
Mwanafunzi kama mwanafunzi anatakiwa apende masomo yake.
Mtu kama mtu inabidi uwe makini.
Nchi kama nchi ipiganie amani.
Raisi kama raisi inabidi awasikilize waliomchagua.
Kwani wakisema hivi inabadilisha maana?
Serikali inabidi iwajali watu wake.
Mwanafunzi anatakiwa apende masomo yake.
Mtu inabidi uwe makini.
Nchi ipiganie amani.
Raisi inabidi awasikilize waliomchagua.
Unadhani hii imesababishwa na nini?
Mimi kwa maoni yango ni kwamba mtu anahisi sentensi anayotaka kuitoa haina nguvu sana, sasa anaona kama akiifanya iwe ndefu kidogo inaweza ikawa inanguvu zaidi. Na mara nyingi hii hutumiwa sana pale mtu anapotaka kuasa kwamba kitu fulani kifanyike. Bado sijasikia kitu kama "gari kama gari ikaondoka", maana ntaanguka. lol
Nimetafuta kwa google kuarasa zenye "serikali kama serikali", nikapata hizi:
Parliament of Tanzania
Parliament of Tanzania
http://watanzaniaoslo.blogspot.com/2008/01/jk-eleven-ivunjwe-yote-ansbert-ngurumo.html
http://tarishi.wordpress.com/category/uncategorized/
http://www.ipp.co.tz/ipp/alasiri/2005/02/16/32668.html
http://www.habarileo.co.tz/kitaifa/index.php?id=9433 (Waziri kasema)
http://www.raiamwema.co.tz/08/04/16/rioba.php
http://mjengwa.blogspot.com/2007/12/bao.html
http://www.bunge.go.tz/bunge/ContrLst.asp?vpkey=1189&pterm=2005-2010&index=9