Haya mambo yanakera sana.
Tuliambiwa hivyo kwa Mugalu,Kanoute Bwalya na wengine wengi.Ila cha kusikitisha hao waliosifiwa hivyo wamekuwa wa kawaida sana kiasi kwamba hata vitimu vidogo vinaipania Simba na vinaiweza tu.
Kwa nini msisajili kimya kimya bila misifa miingi ya kudanganyia washabiki?
Hatupendi kudanganywa sisi,kama hamna hela na mnataka kusajili wachezaji kama anaosajili Azam,muache majisifa mfanye kimya kimya kama afanyavyo Azam.
Tunajua kwa sasa tuna mfadhili bahili,hata kama ana hela ni zake.
Ukweli mchungu ni kwamba matajiri wa kihindi ni mabahili na hakuna hata mmoja anayemiliki timu kubwa yenye mafanikio.
Kwa sasa ufalme tuwaachie yanga tu tuache kudanganyana kwenye mitandao,mtu anaingia na matumaini halafu anakutana na utopolo.Mjue mtaua watu kwa presha ni bora muwe kimya kama Azam ama Namungo.Siyo kutudanganya ooh mchezaji hatari kuliko Adebayor..sijui kiungo hatari kuliko Chama..na ujinga mwingi kama huo.
Tuliambiwa hivyo kwa Mugalu,Kanoute Bwalya na wengine wengi.Ila cha kusikitisha hao waliosifiwa hivyo wamekuwa wa kawaida sana kiasi kwamba hata vitimu vidogo vinaipania Simba na vinaiweza tu.
Kwa nini msisajili kimya kimya bila misifa miingi ya kudanganyia washabiki?
Hatupendi kudanganywa sisi,kama hamna hela na mnataka kusajili wachezaji kama anaosajili Azam,muache majisifa mfanye kimya kimya kama afanyavyo Azam.
Tunajua kwa sasa tuna mfadhili bahili,hata kama ana hela ni zake.
Ukweli mchungu ni kwamba matajiri wa kihindi ni mabahili na hakuna hata mmoja anayemiliki timu kubwa yenye mafanikio.
Kwa sasa ufalme tuwaachie yanga tu tuache kudanganyana kwenye mitandao,mtu anaingia na matumaini halafu anakutana na utopolo.Mjue mtaua watu kwa presha ni bora muwe kimya kama Azam ama Namungo.Siyo kutudanganya ooh mchezaji hatari kuliko Adebayor..sijui kiungo hatari kuliko Chama..na ujinga mwingi kama huo.