Sipendi kuona mume wangu anakosa hela, huwa nampa hela, je inatokea kwa wanandoa wote?

Heaven Sent , Nalendwa Neybright tafadharini laleni! nyie mko chini ya himaya ya waume zenyu kwann mmpo onlin jaman! mbn mafundisho ya Heloo mliyapuuza? jaman!eish tumechoka kusema jaman ! mie namsubiri mtukufu wangu mume ! nyie je?

HAHAH!, basi kuna watukufu wengi wanasubiriwa mamie, si unajua tena usingizi haupandi bila wao.
Hakulaliki mpaka u make sure kala kashiba! [emoji16]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
HAHAH!, basi kuna watukufu wengi wanasubiriwa mamie, si unajua tena usingizi haupandi bila wao.
Hakulaliki mpaka u make sure kala kashiba! [emoji16]

Sent using Jamii Forums mobile app


hahaha umenikumbusha comment ya Madam Mwajuma jaman nimechekaaa hapa kichwa kinauma !amemwambia ampe penzi,, ampe na hela kama kawaida yake na kumnawisha mikono kwa maji ya vuguvugu akimaliza kula !then amruhusu akamtembelee nyumba ndogo yake aliyojengea ghorofa hahahah
 
Haha itakuwa ndo zile ndoa zisizo na furaha. Haha Pampula hajarudi tu? [emoji87] [emoji87]

HAHAH!..aaaah!, nyie watu mkiachwa mie simo.

Eti nani hajarudi?!! mbavu zangu mie..[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

espy mwenzetu naona Pampula wake karudi! [emoji28] [emoji23] [emoji23]
 
hahahah hizo hizo shoo!pampula hajarud naona mwenzangu hajaamua kumwachia!ngj nisugue goti hapa!lol! pls nitag kwenye comment yako ukwel siion

[emoji23] [emoji23] [emoji24] [emoji24]

Mbiti sio kwamba huoni comment shoga itakuwa usingizi, mwenyewe hata sijielewi hapa kama nacheka au nalia, niko hoi bin taaban! [emoji72]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
HAHAH!..aaaah!, nyie watu mkiachwa mie simo.

Eti nani hajarudi?!! mbavu zangu mie..[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

espy mwenzetu naona Pampula wake karudi! [emoji28] [emoji23] [emoji23]


hahahaa unaikumbuka hyo katuni ya pampula?hahaha ndo hubby wangu lol! haah tuachike tupaukeeeeeeeee naudhikaga huu msemo eti oh sasa ushazaa unataka kuachika uende wapi hahaha! huwa nakwazikaa
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji24] [emoji24]

Mbiti sio kwamba huoni comment shoga itakuwa usingizi, mwenyewe hata sijielewi hapa kama nacheka au nalia, niko hoi bin taaban! [emoji72]



Sent using Jamii Forums mobile app



hahahahahah uwiii jaman mie sitak kucheka eti hujui km unacheka au unalia ahhha tulale mamy!mie nimechoka kweli kweli!luv you all
 

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Uwiii!, Hahah!
Mbona tuna Kazi!!! [emoji28]
 
hahahaa unaikumbuka hyo katuni ya pampula?hahaha ndo hubby wangu lol! haah tuachike tupaukeeeeeeeee naudhikaga huu msemo eti oh sasa ushazaa unataka kuachika uende wapi hahaha! huwa nakwazikaa

Hahah!, Khaaaa!
Hebu watuache, kwani Gym zimefungwa milele?
Hawajaona mtu unapiga tease, unapendeza na mpaka unarudia hali yako kabla huja visit labour?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…