Hakika, tendo linaleta kizaazaa mnooo ka vipi lifutwe nchi ipumue....Tupeleke muswada bungeni, imeleta kelele nyingi sana.
Hahaha.............ngoja kesho nijaribu kama itaamka, maana mara ya mwisho niliambulia aibu baada ya kuamshwa Kwa Kila mbinu ikiwemo muhusika kushika mic na kuanza kuimba lakini haikusaidiaMzee mwenzangu usiache hilo zoezi, linauhuisha ubongo pamoja na kuwa tumeshazeeka sasa!
Kelele zimekuwa nyingi, mara mauaji!! Sasa sijui serikali inasubiri nini kuzuiaππHakika, tendo linaleta kizaazaa mnooo ka vipi lifutwe nchi ipumue....
POLE SANA MKUU,Hata mi najua maana hiii JF kisiwa cha maarifa, kuna mwaka nlwahi post mahali time for morning glory basi walioona walijua nalaliwa wakati huo,
wakati nlimaanisha hiki puuhπ€£π€£π€£ππ
Uko wapiHuyu binadamu asubuhi hii ananiambia anaumwa,yaan kunipa niweke tu kidogo utaamsha hadi uhisi amekufa ,mateso haya...!π
Kigoma rafiki, Habari ya majukumu?Uko wapi
Kwamba Usingizi ni muhimu kuliko zoezi la kumfanya Mumeo/Mpenzi wako aende Kazini akiwa comfortable?Sipendi mambo ya kukatishwa usingizi.
Nna safari ya kgm kesho, jiandae kupewa hadi ukimbieKigoma rafiki, Habari ya majukumu?
Kiukweli sipendi lkn siwezi mnyima mwanaume wangu. Hii ni marufuku.Kwamba Usingizi ni muhimu kuliko zoezi la kumfanya Mumeo/Mpenzi wako aende Kazini akiwa comfortable?
Wengine tukishapewa morning glory hata tukutane na PisiKali njiani hatugezui shingo kuangalia neema za allah [emoji847]
Nakusubiri,karibu sana.Nna safari ya kgm kesho, jiandae kupewa hadi ukimbie
Wengine tukishapewa morning glory hata tukutane na PisiKali njiani hatugezui shingo kuangalia neema za allah [emoji847]
Hapo sawa, japo najua ukianzishiwa hiyo morning glory then jamaa akiongeza na ufundi kidogo utaanza kuwa mrahibu maana huwa ni nzuri sanaKiukweli sipendi lkn siwezi mnyima mwanaume wangu. Hii ni marufuku.
Huamini nini Mjukuu π€?[emoji23][emoji23] Hii ni chai babu.
Kama ni kweli hongera sana, bibi kabahatika.Huamini nini Mjukuu [emoji847]?
Mimi nipo hivyo tangu Mwaka 47 [emoji12]
Shukrani MjukuuKama ni kweli hongera sana, bibi kabahatika.