Sipendi ujinga mimi

Sucre255

Member
Joined
Jul 29, 2016
Posts
25
Reaction score
31
*Jamaa mmoja dereva wa bajaji alianguka, sasa bajaji ikawa imem'bana akawa anafurukuta bila mafanikio Cha ajabu watu wakawa wanampita bila kumsaidia, Kumbe Nyuma ya Bajaji yake alikua Kaandika "NIACHENI KAMA NILIVYO, HII NDIO STYLE YANGU"* [emoji23][emoji23][emoji23]

*Mpaka sasa nimemwacha bado yuko hapo*

*Sipendagi Ujinga mimi*
[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
 
Leo nilipo ingia jikoni nikamuona *sisimizi* mmoja kwenye kabati nikamuwekea *visukari* kidogo mbele yake akaanza kulamba na baadae kidogo akaenda kuwaita wenzake. Alipoondoka me nikaifuta ile sukari ili wenzie wamwone *muongo*.
*SIPENDAGI UJINGA MIMI* [emoji35][emoji35][emoji35][emoji12]
 
Mwalimu kaingia darasani na kusema "wanaojijua wajinga wasimame"
Mimi nikasimama peke yangu
Mwalimu;. Wewe ndio mjinga??
Mimi;. Hapana nimeona umesimama peke yako nikaona usijisikie vibaya nikaona angalau tuwe wawili.

Sipendagi ujinga mimi[emoji35][emoji35]
 
*Kuna mtoto wa jirani ananibore sana kila nkimtuma kitu dukani lazima aonje, Jana nlimtuma sukari akala yote..* *Sahii nmemtuma superglue haongei*
*Sipendi ujinga mimi*
[emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35]
 
Mimi: mambo dada
Dem: fresh tu
Mimi: samahan iv unaitwa nan??
Dem; oooh mm naitwa SALOME na ww je??
Mimi: naitwa diamond platnumz ft raymond

[emoji28][emoji28]cpendagi ujinga kabisaa[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mwalimu kaingia darasani na kusema "wanaojijua wajinga wasimame"
Mimi nikasimama peke yangu
Mwalimu;. Wewe ndio mjinga??
Mimi;. Hapana nimeona umesimama peke yako nikaona usijisikie vibaya nikaona angalau tuwe wawili.
UMETISHA
 
Nimemuaga wife wangu nakwenda mbeya kikazi, kumbe nlikuwa na mchepuko tu dah sasa asubuh tumepanda daladala toka tegeta kwenda Posta na mimi kujifanya kauzu namuuliza,
Baby umenifata mpaka uyole huku!!!?

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Sipendagi ujinga
 
1. Mugabe quotes
2. Mungu anakuona/waona
3. Sipendi ujibu
Hizi ni ishara za mwisho wa dunia.
 
Ha hahahahaha sipendagi ujinga mimi
 
😑😑😑😑😑
 
Watoto Wa Siku Hizi Bana: Mwanangu Hapendi Kula Nimemwambia Ntampeleka MBEYA DAY hivi Ninavoongea Sahani Tupu
*SIPENDAGI UJINGA MIMI*
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…