Red Scorpion
JF-Expert Member
- Feb 1, 2012
- 5,736
- 4,252
- Thread starter
-
- #21
Kwa kweli ni kazuri,inasaidia kupunguza maneno ya Kiswanglish,na inakuwa kama ni kudumisha utamaduni wetu wa ki TanzaniaHivi haka kamsemo nani kakaleta,,,,,,,, ila kananogesha story “sipendi ujinga mimi"[emoji1]
[emoji2] [emoji2] [emoji38]Nimejichanga weeeee nikafanikiwa kununua ka Vits kangu cha kunisaidia kwenye misele yangu. Siku moja nipo na baba mkwe wangu nampeleka hospitali, tukiwa tunasubiri kuruhusiwa kwenye mataa pembeni kulikuwa na Range Rover anaendesha kijana kama mimi tu. Baba mkwe wangu akaniuliza, *"mkwe!* *umemuona mwanaume huyo?"* Nilishikwa na hasira nikajikuta nimemjibu *"kuwa na baba mkwe tajiri raha sana, jamaa alipewa hiyo gari kama zawadi na baba mkwe wake siku ya harusi yake"* Basi baba mkwe wangu akanyamaza kimya akawa mdooooooogo.
*Pumbavu!* *huwa sipendi dharau mimi*
Ndugu ww ndiyo mjinga maanaLeo asubuhi kuna mtu kanitumia text inbox, "Mambo vipi Admn please add these two numbers 0712 173 610 0758 251 890.
Nimemjibu:
0712 173610 + 0785 251890 = 1,470,425,500.
Sipendagi ujinga mimi [emoji35][emoji35][emoji35][emoji35]
UTAMU WA NYUMBA ZA KUPANGA!
Jana mpangaji mwenzang alikuja
akaniambia nipunguze sauti ya radio
anataka kulala.
Leo anapika pilau na mimi
nmemwambia apunguze harufu ya viungo nataka kula ugali wangu. sipendi ujinga ajue.[emoji35]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mademu wawil walikua wamekaa disco m1 mbovu mwingine mkali nikawafuata
*MIMI*:mambo vip dada
*DEM MBOVU*:kwa nyodo poaa
*MIMI*:samahani unajua ku dance
*DEM MBOVU*:ndioo huku akitabasamu
*MiMi*:bhas nlikua naomba ukadance nataka niongee na rafik ako
*spendi ujinga mimi[emoji38][emoji38][emoji38]*
[emoji31] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji31] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ishawahi kutokea Pale nilipokutana njiani na Mwalimu aliyenifundisha MATHS secondary afu akaniambia nimuelekeze njia ya kwenda sehemu fulani.
*Nenda mbele kama 2KM hivi kisha kata kushoto,ila hakikisha ANGLE inakuwa ni 30.5 KUSINI MASHARIKI.Kisha tumia PYTHAGORAS na hakikisha una FOUR FIGURE ili kupata thamani ya ANGLE.*
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mwalimu alisonya na kuondoka.
Stakagi ujinga kabisa mimi, wakati ananichapa alifikiri sifa