To me Irene Uwoya ni mzuri mno na ana uzuri wa pekeyake! Haimaanishi Jack mbaya no! But hey! Uwoya is pretty bwana! Halafu hwafanani mi sipendi watu wanaopenda fananishafananisha saingine mtu anakupachika lijitu la ajabu! N'ways jack ni mzuri kivyake tu... But hawafanani pliz!.. Sasa Irene mrembo wetu! Ni nini kile kavaa kwenye my dream movie?..all tits outside! shimizi kwa muuza magazeti! Duu sijaelewa kabisa yani!
Labda wanafananisha uwezo wa kuigiza na wewe unawaelewa tofauti.