Sipendi

ndanda masasi

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2014
Posts
772
Reaction score
1,177
SIPENDI TABIA HII MIMI

Hakuna kitu kinachonikera kama mwanaume kumfata msichana inbox iwe fb au whatsapp na kumuomba namba ya simu. Kama wewe ni msichana na unakerwa na hii tabia kama inavyonikera mimi, NITUMIE NAMBA YAKO YA SIM INBOX tujadiliane tuone ni kwa namna gani tunaweza kulikabili hili tatizo!!!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Reactions: CTX
Wambie mkuu maana hawajakua kisawasawa.
 
ahhaa aiseee kiukwel hata mimi binafsi nikichat na mtu humu au Fb bila kuniomba no nahisi kunakitu bado hakija kaa sawa..ingawa sio guarantee kwamba ni easy kiasi icho kutoa.
 
ahhaa aiseee kiukwel hata mimi binafsi nikichat na mtu humu au Fb bila kuniomba no nahisi kunakitu bado hakija kaa sawa..ingawa sio guarantee kwamba ni easy kiasi icho kutoa.
Naona umekuwa opposed
 
ahhaa aiseee kiukwel hata mimi binafsi nikichat na mtu humu au Fb bila kuniomba no nahisi kunakitu bado hakija kaa sawa..ingawa sio guarantee kwamba ni easy kiasi icho kutoa.
Sasamrembo mbona nikiuomba namba pm unaka5aa. Please nitumie tachat wasapu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…