Mbona umekazania sana hiiYajayo yanatumainisha
Acha u.fala basi, kwani yumo humu?Mungu ukupe afya tele cocha wangu mpendwa,kamwe hautasaulika.
Get well soon our legend manager.View attachment 767359
Aliyekuwa Kocha wa Klabu ya Manchester United, Sir Alex Ferguson afanyiwa upasuaji wa dharula katika ubongo wake ili kuondoa damu iliyovuja
> Kwa mujibu wa jopo la Madaktari wamesema upasuaji huo umefanikiwa kwa asilimia kubwa na sasa anahitaji muda wa kumpumzika
> Familia yake imesisitiza kuwa suala hili ni binafsi
========
Sir Alex Ferguson has undergone surgery today for a brain haemorrhage. The procedure has gone very well but he needs a period of intensive care to aid his recovery.
His family request privacy in this matter.
Everyone at Manchester United sends our very best wishes.
Wivu wa nn mkuu?Acha u.fala basi, kwani yumo humu?
"Kocha bora wa muda wote??" Hii ndio tunaita word to word translation. Hizi wanazifanya wale watangazaji form 4 kwa kukosa umahiri wa lugha au ukilaza wao, ulitakuwa useme "Kocha bora kupata kutokea" ucha ukilaza wa kina shaffi Dauda!Mungu akujalie Heri ewe kocha bora wa muda wote.
Kila mtu ana Uhuru wa kuamini anavyotaka, kwa hiyo usinipangie cha kusema. Wewe ni nani kwangu hadi upange imani yangu?"Kocha bora wa muda wote??" Hii ndio tunaita word to word translation. Hizi wanazifanya wale watangazaji form 4 kwa kukosa umahiri wa lugha au ukilaza wao, ulitakuwa useme "Kocha bora kupata kutokea" ucha ukilaza wa kina shaffi Dauda!
Au ma speaker na nyimbo za injili zinapigwa...Hii ingekuwa Afrika...sasa hivi tungekuwa tushafunga turubai...na watu wangeshaanza kusogea...Mungu amjalie apone haraka