Sir Nature amtupia lawama TID juu ya KR

Mtanzanika

JF-Expert Member
Joined
Feb 27, 2012
Posts
2,389
Reaction score
1,131


Nakumbuka EATV waliwahi kumhoji Nature juu ya KR kuhamia UNYAMANI ...Nature alimsihi KR aangalie namna ya kukwepa kuingia kwenye mkumbo.
Japo Nature alikua yuko tungi lakini alitoa tahadhari ya busara kwa best yake.

Leo..amepost hiyo picha huko Insta.
 
Jamaa anatafuta verse hapo kabla hajaingia studio...... kila siku huwa nawaambia vijana shortcut is always a wrong cut, ukiimbia shule trust me at some point in your life lazima uje uregret
 
Jamaa anatafuta verse hapo kabla hajaingia studio...... kila siku huwa nawaambia vijana shortcut is always a wrong cut, ukiimbia shule trust me at some point in your life lazima uje uregret
KR alikuwa Jembe sana....sana yaani...kama amefikia hatua hii ni msiba mkubwa.
KR Mullah, Jibaba Cd 700...Njo kichwa kichwa kula za uso vaba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…