Sir Nature na Inspector Haroun wamerudi

Sir Nature na Inspector Haroun wamerudi

maroon7

JF-Expert Member
Joined
Nov 3, 2010
Posts
11,311
Reaction score
15,640
Hawa jamaa wamerudi na ngoma yao nyingine ya mzee wa busara part II. Wanafurahisha tu kuwaskia tena baada ya miaka mingi wamenirudisha back in time. Nature kweli kiroboto yupo vilevile na ubora wake wa sauti ni uleule. Jamaa na jumbe zao za kufurahisha wataleta ladha tofauti kwenye mziki wetu wa sasa ambao sio rappers wala waimbaji ni jumbe za kugegedana na kupakiana mkongo tu
 
Hawa jamaa wamerudi na ngoma yao nyingine ya mzee wa busara part II. Wanafurahisha tu kuwaskia tena baada ya miaka mingi wamenirudisha back in time. Nature kweli kiroboto yupo vilevile na ubora wake wa sauti ni uleule. Jamaa na jumbe zao za kufurahisha wataleta ladha tofauti kwenye mziki wetu wa sasa ambao sio rappers wala waimbaji ni jumbe za kugegedana na kupakiana mkongo tu
Wimbo uko wapi?
 
Wamejitahidi sana, nimependa majibizano yao inspekta anadai Mzee wa Busara amebadili hawangi tena, Sir Nature anakataa bado hajaamini kama Mzee amebadilika kabisha hadi mwisho,

Mandojo na Domokaya video yao ya Nikupe ni nzuri na ipo classic ila ndio vile tena kizazi hiki wanapenda kuona shanga na boxer.
 
Back
Top Bottom