nsharighe JF-Expert Member Joined Aug 9, 2015 Posts 1,441 Reaction score 2,220 Dec 1, 2018 #21 Kujikamua kote ndp umeandika pumba hizi?
U UCD JF-Expert Member Joined Aug 17, 2012 Posts 8,690 Reaction score 6,546 Dec 1, 2018 #22 adolay said: Wanaiba halafu eti ushindi wa kishindo hovyo kabisa hawa watu. Click to expand... Wewe ulishindwa kuiba? Yaani sijui nikuite jina gani ....!!
adolay said: Wanaiba halafu eti ushindi wa kishindo hovyo kabisa hawa watu. Click to expand... Wewe ulishindwa kuiba? Yaani sijui nikuite jina gani ....!!
M mmteule JF-Expert Member Joined Oct 3, 2011 Posts 5,883 Reaction score 14,600 Dec 1, 2018 #23 Weledi tumekuelewa wale Vinyonga wajichunge wasije kumbana na yake ya Sofie Lion
A adolay JF-Expert Member Joined Dec 8, 2011 Posts 12,101 Reaction score 14,487 Dec 1, 2018 #24 UCD said: Wewe ulishindwa kuiba? Yaani sijui nikuite jina gani ....!! Click to expand... Uelewa wako wa BRN kwa vile kila MTU anaruhusiwa kuhesabu na kutangaza matokeo hata baa, uelewa wako ndio unavokutuma Pathetic.
UCD said: Wewe ulishindwa kuiba? Yaani sijui nikuite jina gani ....!! Click to expand... Uelewa wako wa BRN kwa vile kila MTU anaruhusiwa kuhesabu na kutangaza matokeo hata baa, uelewa wako ndio unavokutuma Pathetic.
C Chris M Member Joined Nov 10, 2018 Posts 8 Reaction score 4 Dec 2, 2018 #25 ArchAngel said: Wajinga kama mleta mada ndo mtaji halisi wa ccm-na ndo walio wengi Click to expand... Amejaa maujinga
ArchAngel said: Wajinga kama mleta mada ndo mtaji halisi wa ccm-na ndo walio wengi Click to expand... Amejaa maujinga
A artch2311 JF-Expert Member Joined Jan 5, 2016 Posts 1,375 Reaction score 810 Dec 2, 2018 #26 AbaMukulu said: Atarudi kwa nguvu ya mtutu wa policcm. Msimu wa maembe ndio huu. Wenye kichefuchefu cha mimba wapelekewe Click to expand... Kama mnajua atarudi kwa mtutu wa Bunduki na mnaamini miakayote wanaingia kwa nguvu ya policcm..., sasa hizi kelele za kiendawazimu ni za nini?
AbaMukulu said: Atarudi kwa nguvu ya mtutu wa policcm. Msimu wa maembe ndio huu. Wenye kichefuchefu cha mimba wapelekewe Click to expand... Kama mnajua atarudi kwa mtutu wa Bunduki na mnaamini miakayote wanaingia kwa nguvu ya policcm..., sasa hizi kelele za kiendawazimu ni za nini?