Kaunara
JF-Expert Member
- Feb 4, 2013
- 249
- 452
Wa JF habari zenu!!
Kuna jambo ambalo linanisumbua ambalo nahitaji ufafunuzi wenu hasa wale watu ambao wamejaliwa kupewa jicho la tatu katika imani ya dunia hii.
Hapa dunian kuna watu ambao wana Iman mbali mbali sana na Dini tofauti sana kwa hapa naongelea wale ambao wana Iman kuwa Mungu (Wakristu) yupo na wale wenye Imani kuwa kuna nguvu za giza ambazo nazo pia zinafanya kazi, Kama wewe ni mwana JF na kati ya izo Iman nilizo sema hapo juu huamini kama zipo basi hii topic haikuhusu, ni wale tu ambao wana amini kuna uwepo Mungu na nguvu za giza.
Nilichotaka kuuliza mimi kwa watu wenye imani hizi mbili nilitaka kujua kuna siri gan ambayo ipo ndani ya damu ya Binadamu na wanyama?
Nauliza hivi kwa kuwa Iman hizi mbili nimeona watu ambao wanatumia nguvu za giza hasa wanaoenda kwa waganga wa kienyeji au wanaofanya matambiko wanaambiwa wapeleke mnyama achinjwe atoe damu au atoe damu yake mwenyewe maana ya kupigwa chale ili lile jambo ambalo analitaka liweze kufanyika. Wengne wanatoa damu za binadamu wenzao ili waweze pia kufanikiwa.
Kwa upande wanaoamini Mungu yupo hasa Wakristu wanasema Yesu Kristu alimwaga damu yake ili tupate kukombolewa na kwakufanya ivyo bas ukiomba chochote kwa kupitia Yesu Kristu utapata na huitaji tena kulipia.
Nilitaka kujua kwanini damu imekuwa na thamani kubwa sana katika Imani hizi. Asanteni.
Kuna jambo ambalo linanisumbua ambalo nahitaji ufafunuzi wenu hasa wale watu ambao wamejaliwa kupewa jicho la tatu katika imani ya dunia hii.
Hapa dunian kuna watu ambao wana Iman mbali mbali sana na Dini tofauti sana kwa hapa naongelea wale ambao wana Iman kuwa Mungu (Wakristu) yupo na wale wenye Imani kuwa kuna nguvu za giza ambazo nazo pia zinafanya kazi, Kama wewe ni mwana JF na kati ya izo Iman nilizo sema hapo juu huamini kama zipo basi hii topic haikuhusu, ni wale tu ambao wana amini kuna uwepo Mungu na nguvu za giza.
Nilichotaka kuuliza mimi kwa watu wenye imani hizi mbili nilitaka kujua kuna siri gan ambayo ipo ndani ya damu ya Binadamu na wanyama?
Nauliza hivi kwa kuwa Iman hizi mbili nimeona watu ambao wanatumia nguvu za giza hasa wanaoenda kwa waganga wa kienyeji au wanaofanya matambiko wanaambiwa wapeleke mnyama achinjwe atoe damu au atoe damu yake mwenyewe maana ya kupigwa chale ili lile jambo ambalo analitaka liweze kufanyika. Wengne wanatoa damu za binadamu wenzao ili waweze pia kufanikiwa.
Kwa upande wanaoamini Mungu yupo hasa Wakristu wanasema Yesu Kristu alimwaga damu yake ili tupate kukombolewa na kwakufanya ivyo bas ukiomba chochote kwa kupitia Yesu Kristu utapata na huitaji tena kulipia.
Nilitaka kujua kwanini damu imekuwa na thamani kubwa sana katika Imani hizi. Asanteni.