Ngondonyoni
Senior Member
- Feb 16, 2016
- 120
- 74
Mkuu acha tu. Nimekesha nikifanya kazi flani kichwa hakipo sawa kabisa.Asante sana. Ila nimeanza kucheka niliposoma "Mod One , Mod Two naomba mnisaidie ku-edit title ya uzi iwe hapo kwenye Sukashi Nakamura isomeke Sukashi Nakamoto.", maana unajaribu kurekebisha jina la Nakamura live Nakamoto na unaharibu kina la Satoshi kuwa sasa Sukashi hahahahaha. Leo kweli Blue Monday.
Soma habari vizuri kabla hujaweka comment kama hii.Huwezi pingana na matokeo na huwezi zuia technology kwa mkono...
Wakati watanzania wanasema bitcoin na crypto ni utapeli wazungu wanaendelea kupiga mapesa, sisi tupo tu!!
Blockchain is the future nigga!!
raha ya bitcoin ni kwamba hata huyo SATOSHI wako akiamua kiziingiza hizo bitcoin zake zitashuka thamani kwa muda tu,,,baadae zitapanda,,,na kuna watu wanasubiri zishuke thamani wazinunue...bitcoin haina uthibiti na haiwezi kufa....kumbuka cryptoccurencies ziko nyingi hao wanaoipinga bitcoin either ni washindani wao au ni nchi zinazoogopa currencies zao zitadondoshwa na bitcoinNi kweli na itakuwepo angalau mpaka mwaka 2140 na bitcoin zinafaida zaidi kuliko hasara au hatari ya kufilisi watu. Lakini hii hai ondoi ukweli kwamba SATOSHI NAKAMOTO anaweza kuitingisha dunia la soko la bitcoin siku yeyote akiamua kufanya hivyo.
Fanya experiment ya kuweka jina la Blockchain kwenye description ya Linkedlin yako, kwa mfano ukiandika "I am a Blockchain enthusiast".... utaona mara moja wengi sana wataanza kukuomba uwe contact Yao...Huwezi pingana na matokeo na huwezi zuia technology kwa mkono...
Wakati watanzania wanasema bitcoin na crypto ni utapeli wazungu wanaendelea kupiga mapesa, sisi tupo tu!!
Blockchain is the future nigga!!
Probably you are right on this.raha ya bitcoin ni kwamba hata huyo SATOSHI wako akiamua kiziingiza hizo bitcoin zake zitashuka thamani kwa muda tu,,,baadae zitapanda,,,na kuna watu wanasubiri zishuke thamani wazinunue...bitcoin haina uthibiti na haiwezi kufa....kumbuka cryptoccurencies ziko nyingi hao wanaoipinga bitcoin either ni washindani wao au ni nchi zinazoogopa currencies zao zitadondoshwa na bitcoin
mkuu technologia yoyote mpya inapoingia inaleta mashaka fulani mku mpaka pale itakaposettle ndio watu wanaondoa mashaka......dunia sasa hivi inaelekea huko mkuu pesa ya cash ndio inaelekea kupotea hivyo inayokuja ndio hiyo crypo....!...huyo Satoshi anajulikana sema wameamua kumuweka invisible kwa sababu maalum.....hii bitcoin imeshakubalika worldwide ni ngumu sana kufa.....believe me kama US na CHINA wameikubali haitakufa kamwe!Probably you are right on this.
But for a prudent and wise man you should reconsider all posibilities from both sides, bad and good.
Mimi nahamasisha watu watumie lakini wasiwekeze akiba yao yote.
Mkuu wewe kama una umri mkubwa unakumbuka Y2K. Unaijua ilikuwa ndio nini?
Kwanini wajuzi wa technolojia hawa ku-renconsider ile problem wakati wana design?
Usimuwekee sana dhamana programmer anaweka backdoor ya kuja kuku-force uingie gharama tena.
Kama unafikiri vizuri jiulize maswali kwanini mgunduzi wa hizo crypto currency ameficha utambulisho wake?
Ukweli ulio wazi amegundua kitu muhimu sana na cha lazima kwa dunia ya sasa. Narudia tena hii haiondoi hatari zinazowezekana watu kupoteza fedha au kufilisika kabisa.
Hamna kisichokua na hatari mkuu, ukisema ukiinvest kwenye bitcoin ni hatari je wale ambao pesa zao zimepotea baada ya benk kufutiwa usajili unawaseaje?Ukweli ulio wazi amegundua kitu muhimu sana na cha lazima kwa dunia ya sasa. Narudia tena hii haiondoi hatari zinazowezekana watu kupoteza fedha au kufilisika kabisa.
Hii haihusian na Crypto mkuuThat why unaambiwa invest what u afford to lose
Ila ripple anajulkana na yupo verified,tatizo bitcoin owner/satosh.Kwa maoni yangu, hata huyo Satoshi akiibuka akauza hizo 980,000 bitcoins unazosema anazo kwa sasa athari haitakuwa kubwa sana kiasi cha kuangusha market.
Hatari ipo kwenye digital coins nyingine mfano XRP unakuta kwanza ni centralized, pili mmiliki ana like 60% ya coins zote.
Ripple si crypto ya kweli kama Bitcoin, ila ni kama token, ipo controlled na kampuni binafsi na inatumika kwa sababu maalum na kwa Kazi maalum, na si kama pesa kama bitcoin. Hata hivi investment si mbaya Ripple. Ripple iPo ndani ya Private Blockchains. Coins nyingi pia zitapotea baada ya muda kwa sababu hazina maana sana. Bitcoin itaendelea sana lakini.Ila ripple anajulkana na yupo verified,tatizo bitcoin owner/satosh.
Crypto ni nzur SANAAAAAAA,kwa coin nyengne mbali na BTC
Ni kweli mkuu.Control ipo lakini kwa nia ya consensus, maana transactions na utumiaji wa bitcoin na hata mining inahitaji makubaliano ya miners na engine wenye bitcoin nyingi, Katika protokali ya Proof of Work, Proof of Stake na kadhalika. Hakuna central bank, lakini Wapo wanaocontrol kwa consensus. Wakati mwingine inakuja fork maana bitcoin inagawanya na wale miners, na Bitcoin Nyingine kama BitcoinGold etc inatokea kama sarafu. Sarafu nyingine zinafanana na Bitcoin au na Ethereum. Zile zinazofanana na Ethereum zinaweza kuwa controlled Katika Private Blockchain au la. Kwa Kweli ulimwengu wa blockchain na ya sarafu ya kidijitali si rahisi kuelewa mara moja.
Usipotoshe kwamba fedha zimeenda moja kwa moja.Hamna kisichokua na hatari mkuu, ukisema ukiinvest kwenye bitcoin ni hatari je wale ambao pesa zao zimepotea baada ya benk kufutiwa usajili unawaseaje?
Wewe ndio unapotosha, risk ziko kila sehemu na ukiona investment ambayo haina risk jua haina faida!Usipotoshe kwamba fedha zimeenda moja kwa moja.
Mkuu hadi tukuwekee tangazo la serikali kuhusu benki zilizofungiwa au unapenda mabishano yasiyo ya kitaalamu kam ya vijiweni?Wewe ndio unapotosha, risk ziko kila sehemu na ukiona investment ambayo haina risk jua haina faida!