Fuqin
JF-Expert Member
- Dec 2, 2018
- 306
- 625
Wadau nadhani mupo powa kabisa... mimi ni mdau wa biashara ya nafaka na leo nataka kushare nanyi kitu katika biashara ya nafaka ambapo hata nyinyi munaweza kufanya na mukapata pesa nzuri tuu, ni hivii...
Wakati biashara zinaenda kama kawaida kipindi cha mavuno bei huwa zinashuka sana mfano kunde waweza nunua sh. 800 kama una milioni 8 unapata tani 10... ukatafuta sehem ukaihifadhi ukapiga na dawa baada ya miezi 6 utakuja kuiuza kwa sh. 1500 mara tani 10 zako inapata milioni 15 ukitoa milioni zako 8 inabaki m 7 kama faida.... hii kitu hata mimi huwa nafanya na ndio kazi yangu na huku nina duka nauza kila siku bidhaa kwahyo napiga huku na huku
Wakati biashara zinaenda kama kawaida kipindi cha mavuno bei huwa zinashuka sana mfano kunde waweza nunua sh. 800 kama una milioni 8 unapata tani 10... ukatafuta sehem ukaihifadhi ukapiga na dawa baada ya miezi 6 utakuja kuiuza kwa sh. 1500 mara tani 10 zako inapata milioni 15 ukitoa milioni zako 8 inabaki m 7 kama faida.... hii kitu hata mimi huwa nafanya na ndio kazi yangu na huku nina duka nauza kila siku bidhaa kwahyo napiga huku na huku