Siri nyingine ya mabeberu kutuandama hii hapa, tuna swag sana, tupo pazuri

Siri nyingine ya mabeberu kutuandama hii hapa, tuna swag sana, tupo pazuri

nzagambadume

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2018
Posts
2,430
Reaction score
5,779
Niliangalia ile hotuba ya Profesa Kabudi United Nations General Assembly kimoyomoyo nikasema tumekwisha aisee, yaani kamera ilikuwa iki pan na ku-zoom kwa mabeberu unaona jinsi yanavyokunja uso kwa WIVU haswa pale profesa wetu bobefu la sheria na diplomasia liliposema kwamba ndani ya miaka mitatu tumejenga VIWANDA 4000, ZAHANATI 357, MABARABARA, RELI YA KISASA IKO NJIANI, BWAWA LA UMEME, MADEGE KEDEKEDE KWA CASH MONEY.

Mabeberu yakameza mate kwa uchungu na kutuanza kutuandama tangu kipindi hicho, ila ni kawaida misuguano kati ya donor countries maana na sisi tupo kwenye hilo kundi,sisi siyo masikini jamani,narudia sisi siyo masikini, viwanda vikubwa 4000 in 3 years ni record ya dunia na kila kimoja kinaajiri siyo chini ya watu 5000, hapo ni ajira kama milioni 20 hata kama iwe ajira milioni 5 ila hiyo rekodi ni kubwa kwanini mabeberu na vibaraka wao wasinune?

Leo sisi ndo nchi pekee ambayo wamekufa wagonjwa 10 tu wa corona na inavyoonekana hata ikichukua miaka miwili hatutakuwa na vifo zaidi ya 20, maono ya Rais wetu mpendwa mwenye kutependa wanyonge yamefanya kazi kwelikweli, Mungu kasikia maombi yetu sababu DR John Pombe Jospeh Magufuli NI MNYENYEKEVU, MPOLE NA MACHA MUNGU SANA.

Hata tiba ya kujifukiza imesaidia sana, mabeberu yamenuna tena ngoja nimalizie kwa ku attach picha hapa ya kuonyesha uzembe na ushamba wa mabeberu hata kama wanatengenza magari ila ni washamba hawajui kuyatumia wala hawana swag kabisa. Angalia hapa Angela Markel na mzalendo mnyenyekevu RC Makonda.

Capture.PNG
 
Kati ya VW Multivan (kwenye picha) na Nissan Infinity ipi bei ya Juu? Isitoshe Kanzela wa Ujerumani hutumia Audi A 8 au BMW 7 series.
 
Unaonekana ngosha kama kawaida unachoelewa ni kinyume kabisa na uhalisia wa mambo. Hao wajerumani ndio watengenezaji wa hayo magari mazuri unafikiri ni wajinga sana kwa sababu viongozi wao hawatumii magari hayo. Hao hao ndio tunaowakimbilia kuwaomba msaada kila siku.

Viwanda 4000! Ajira 20M! U nafikiri kiwanda kimoja ni kama ng’ombe? Au kwako kiwanda ni mashine ya kukoboa mpunga. Ndio maana wazungu walikuwa wanamshangaa profesa uchwara katika hotuba yake.

Jiwe ni mpole na mnyenyekevu?! Unajua watu wangapi wameteswa na kufa?
 
Unaonekana ngosha kama kawaida unachoelewa ni kinyume kabisa na uhalisia wa mambo. Hao wajerumani ndio watengenezaji wa hayo magari mazuri unafikiri ni wajinga sana kwa sababu viongozi wao hawatumii magari hayo. Hao hao ndio tunaowakimbilia kuwaomba msaada kila siku.

Viwanda 4000! Ajira 20M! U nafikiri kiwanda kimoja ni kama ng’ombe? Au kwako kiwanda ni mashine ya kukoboa mpunga. Ndio maana wazungu walikuwa wanamshangaa profesa uchwara katika hotuba yake.

Jiwe ni mpole na mnyenyekevu?! Unajua watu wangapi wameteswa na kufa?
Mwenzio kaongea kinyume huyo kuwananga wakubwa!

Fasihi tu imetumika hapo ndugu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unaonekana ngosha kama kawaida unachoelewa ni kinyume kabisa na uhalisia wa mambo. Hao wajerumani ndio watengenezaji wa hayo magari mazuri unafikiri ni wajinga sana kwa sababu viongozi wao hawatumii magari hayo. Hao hao ndio tunaowakimbilia kuwaomba msaada kila siku.

Viwanda 4000! Ajira 20M! U nafikiri kiwanda kimoja ni kama ng’ombe? Au kwako kiwanda ni mashine ya kukoboa mpunga. Ndio maana wazungu walikuwa wanamshangaa profesa uchwara katika hotuba yake.

Jiwe ni mpole na mnyenyekevu?! Unajua watu wangapi wameteswa na kufa?
Mnaongea lugha moja! Though hamjaelewana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unaonekana ngosha kama kawaida unachoelewa ni kinyume kabisa na uhalisia wa mambo. Hao wajerumani ndio watengenezaji wa hayo magari mazuri unafikiri ni wajinga sana kwa sababu viongozi wao hawatumii magari hayo. Hao hao ndio tunaowakimbilia kuwaomba msaada kila siku.

Viwanda 4000! Ajira 20M! U nafikiri kiwanda kimoja ni kama ng’ombe? Au kwako kiwanda ni mashine ya kukoboa mpunga. Ndio maana wazungu walikuwa wanamshangaa profesa uchwara katika hotuba yake.

Jiwe ni mpole na mnyenyekevu?! Unajua watu wangapi wameteswa na kufa?
Acha uzito wewee...hio wasukuma tunaita sarcasm
 
Haujamuelewa mtoa mada soma vizur uz huu utaelewa
Unaonekana ngosha kama kawaida unachoelewa ni kinyume kabisa na uhalisia wa mambo. Hao wajerumani ndio watengenezaji wa hayo magari mazuri unafikiri ni wajinga sana kwa sababu viongozi wao hawatumii magari hayo. Hao hao ndio tunaowakimbilia kuwaomba msaada kila siku.

Viwanda 4000! Ajira 20M! U nafikiri kiwanda kimoja ni kama ng’ombe? Au kwako kiwanda ni mashine ya kukoboa mpunga. Ndio maana wazungu walikuwa wanamshangaa profesa uchwara katika hotuba yake.

Jiwe ni mpole na mnyenyekevu?! Unajua watu wangapi wameteswa na kufa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom