Siri Nyumba ya Diamond South Africa

Bibi wee heshima pesa mjini na zari anazo , tafuta pesa uheshimiwe mujini , hata ukikaa uchi utaambiwa mwacheni kuna joto Sasa hivi 🤣🤣
Lol pesa zisikutoe utu na heshima yako ulojijengea bana weee
 
Sasa si tumfukuze kwenye nyumba yetuuuuuuuuu
Tumesema hatutaki (sio hatuwezi) kumfukuza pale sababu watoto wetu wako pale. Acha aendelee kutulelea watoto wetu siku akichoka kukaa pale ataturudishia mwenyewe.
 
Ndoto za alinacha hizi. Mna uraia huko?unazijua sheria za kumiliki nyumba south?
Tumesema hatutaki (sio hatuwezi) kumfukuza pale sababu watoto wetu wako pale. Acha aendelee kutulelea watoto wetu siku akichoka kukaa pale ataturudishia mwenyewe.
 
Ndoto za alinacha hizi. Mna uraia huko?unazijua sheria za kumiliki nyumba south?
Actually mtoto wetu mmoja ni raia pale, so indirectly tuna ka uhusiano kidogo na uraia wa pale kwa kuunga unga.
 
Mtaje huyo mtoto maana naona wote ni wasauzi kwa sasa au huna taarifa hio? Pia nyumba ilinunuliwa kwa nguvu ya zari kuwa msouth pia
Actually mtoto wetu mmoja ni raia pale, so indirectly tuna ka uhusiano kidogo na uraia wa pale kwa kuunga unga.
 
Ndoto za alinacha hizi. Mna uraia huko?unazijua sheria za kumiliki nyumba south?
hakuna restrictions kwa foreigner kumiliki immovable property SA
Tofauti n'a huku kwetu ambapo lazima uwe raia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…