Siri Nyumba ya Diamond South Africa

Minions mtaambia nini watu??
 
Inamuuma sana kuona bado Zari anapendeza na zaidi kapata bwana matawi kumzidi yeye. Kweli angekaa kimya tu badala ya kutunga uongo mwingi
domo katudhalilisha sana yani dem unaachana nae miaka 2imepita unakuja kulialia leo .....pumbavu zake
ila nmejifunza kitu umaskini sio kipimo cha ushamba
 
domo katudhalilisha sana yani dem unaachana nae miaka 2imepita unakuja kulialia leo .....pumbavu zake
ila nmejifunza kitu umaskini sio kipimo cha ushamba

Umeona eeh ? Bado hajamove on , chezeya zari weye , mwanamke analea watoto zake kimya, wala hajawahi kupiga donation mitandaon alee watoto , yan zari she is a hard working woman
 
Ile nyumba ya Diamond . Zali angepata wapi hela ya kununulia nyumba. Nyumba ni ya diamond Ila kwasababu wanaishi watoto wake atafanya nini . Hana la kufanya .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…