Duuh! Tena? Basi hii kali.... Ila namfahamu jamaa yule ni ngumu sana kudumu na binti mmoja......
Kwa hiyo pamoja na ulokole wake Munalove anazini? Manake najua hana ndoa takatifu na Joel Lwaga.Mwacheni, sasa hivi anapigwa mti na Joel Lwaga
Hilo ni jibu mkuu. Ingawa ndio napata taarifa humu kuwa wamesha achana. Ila najua walikuwa wanaishi wote bila ndoa takatifuKwa hiyo pamoja na ulokole wake Munalove anazini? Manake najua hana ndoa takatifu na Joel Lwaga.
Maisha bila unafiki hayaendi mkuu, nasikia alishasema mama yake alishafariki, ila ukimtizama yule mama aliyehojiwa na watu wa global publishers wanafanana mno kimuonekano.Hilo ni jibu mkuu. Ingawa ndio napata taarifa humu kuwa wamesha achana. Ila najua walikuwa wanaishi wote bila ndoa takatifu
Binafsi huyu dada sijawahi kumuelewa tangu kwenye msiba wa mtoto wake. Mara aseme mtoto ni wa mwanaume huyu mara kesho tena anabadilisha anamtaja baba mwingine, nikamuona shit tuMaisha bila unafiki hayaendi mkuu, nasikia alishasema mama yake alishafariki, ila ukimtizama yule mama aliyehojiwa na watu wa global publishers wanafanana mno kimuonekano.
Huyu dada ni fake sana, mambo anayoyafanya huwezi kuamini kabisa, hivi wewe unaweza kumkana mzazi wako kweli?Binafsi huyu dada sijawahi kumuelewa tangu kwenye msiba wa mtoto wake. Mara aseme mtoto ni wa mwanaume huyu mara kesho tena anabadilisha anamtaja baba mwingine, nikamuona shit tu
Hivi kaka mtu alipata walau fursa ya kuhudhuria msiba wa mdogo wake?Kahojiwa na Gazeti, amekataa hana mtoto.....! Yani anakataa kuwa na mtoto mkubwa wa Patrick!
Hii nayo hatari.Maisha bila unafiki hayaendi mkuu, nasikia alishasema mama yake alishafariki, ila ukimtizama yule mama aliyehojiwa na watu wa global publishers wanafanana mno kimuonekano.
Huyu haaminiki ata kidogo kwa sasa, kama unaweza kutufunga kamba katika masuala mawili ya nyuma iweje tukuamini katika masuala matatu mapya? Wazungu wana msemo wao wanasema ONCE A LIER ALWAYS A LIER.Hii nayo hatari.
Kama hawa ndiyo wanawake tunaotakiwa kuishi nao basi kazi kubwa tunayo. Bila akili unazikwa kabla ya mapambazuko ya dunia. Ni kweli Mungunalituletea viumbe wa aina hii kuwa wasaidizi wetu au hawa wa type hii walijileta??
Kama hiintaarifa ni kweli,aishangai kukana kuwa na mtoto mwingine.