Siri nzito inanitafuna. Nifanye nini?

Ushauri mzuri sana. Lkn awe na uhakika ili police watimize wajibu wao. Itahitajika wajiridhishe km kweli usemayo ni ya kweli, hapo ndo patamu.
Mama wa mtoto akibinywa vizuri ushirikiano atakaoutoa utashangaa nakwambiaa.
 
Hii mbon kama Hadith

Yaan jamaa aend mwenyew kufata mToto ajapma risk, alishndwa muagz mtu yoyote anae muamin
 
Hii mbon kama Hadith

Yaan jamaa aend mwenyew kufata mToto ajapma risk, alishndwa muagz mtu yoyote anae muamin
Wazee wa movies tena, washaanza kujikuta wakina Michael Scolfield.
 
Hapo baba mwenye mtoto atakuwa kamfata mwanaye ila wewe inakuwaje siri ikuumize wakati sio muhusika tulia tu ukwel utajulikana tu

Sent from my vivo 2015 using JamiiForums mobile app
 
Ikiwa mtoto katolewa na mama yake mzazi wewe ni nani uwe na uchungu kiaisi cha kukutafuna.
Ya Ngoswe muachie Ngoswe ndugu.
 
MTumie jamaa barua kwa usiri bila kuandika jina lako kumjulisha kwa ufupi tu kuwa mkewe anajua mtoto alipo
 
Tuma ujumbe kwa polisi kwa njia ya posta au katumbukize kikaratasi kwenye sanduku la maoni polisi au ofisi ya mkuu wa wilaya au kwa watetezi makundi maalum jinsia na watoto.
Kama vipi mtumie ujumbe PM hapa JF Waziri Doroth Gwajima.
 
Sasa inakutafuna nini kama una uhakika mtoto kaondoka na baba yake basi mtoto yupo sehemu salama

Hii Siri muachie mama wa mtoto imtafune
Siri ya watu watatu ipo ikiwa tu wawili wamekufa…
🤣 🤣 🤣 Una hekima ya hali ya juu sana mkuu.
 
Tatizo la kuoa malaya ndo hilo
 
Asee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…