Siri nzito juu ya namba 9

Yaani kuna ng'ombe wana quote story nzima kishwa anaandika 123.6 huu ni ujinga wenzio tunatumia simu sio baskeli.
 
Embu acheni kuzingua kama jinsi ambavyo nyie mnaheshimu dini zenu tambueni ya kuwa kuna wengine wana thamini hesabu hvyo hvyo na cdhan kama we ungefurahi Mimi ningeanza kuongelea kuhusu historia ya kanisa kuuwa wanawake.Kma hujui maana ya hesabu kuna vitabu kibao vipo vinaelekeza historia yake fuatilia uelewe nini maana ya quadruple numbers na uhusiano wake na primes kabla hujaanza ongea imani za kishirikina
 
Mkuu hauwezi ukasummarize hii mada kwa kiswahili?
Jamaa katumia teknoloji vizuri, ka kopi kaitupa hapa, unaweza kukuta yeye mwenyewe hata kuisoma hajaisoma, ameangalia namba tisa tu ilipo basi, angeisoma lazima angeifupisha, utadhani ile mkataba wakujiunga na e mail, mwisho una press yes i do agree.
 
uki Google tena uje na siri nyingine za namba zilizobaki ,sababu inaelekea hufahamu uploading of information on the web inategemea na interest ya mtu na wewe unayezisoma uelewa wako,by the way vitu vingine ni vya kijinga mitandaoni haijalishi lugha inayotumika,quotations,reference etc ,pia kumbuka research zingine ziko biased
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…