Siri nzito yavuja wizara ya elimu

Siri nzito yavuja wizara ya elimu

HOSEA EMANUEL

Member
Joined
May 30, 2013
Posts
7
Reaction score
0
baada ya matokeo mabaya ya la saba,kidato cha 4,6,grade ,Diploma hatimaye serikali kutangaza mshahara mpya wa takhome 700000 utakaoanza mwezi August,limesemwa kupitia wizara ya elimu ili kuepushe ufelit usio wa lazima na kusuru taifa
 
baada ya matokeo mabaya ya la saba,kidato cha 4,6,grade ,diploma hatimaye serikali kutangaza mshahara mpya wa takhome 700000 utakaoanza mwezi august,limesemwa kupitia wizara ya elimu ili kuepushe ufelit usio wa lazima na kusuru taifa

naona leo umepiga cha arusha,cha arusha noma
 
Mbona nchi itayumba kwa mshahara huo
 
Ndo nimegundua kwa nini viroba na bangi vinapigwa vita. up.upu
 
C kweli
Wizara ya elimu haiucani na mishahara ya walim.
 
"Kitu cha Arusha" at work. Nilisikia Uruguay wameruhusu hii kitu.
Tutarajie washauri wa aina hii kutoka Uruguay. Hatari!!
 
baada ya matokeo mabaya ya la saba,kidato cha 4,6,grade ,diploma hatimaye serikali kutangaza mshahara mpya wa takhome 700000 utakaoanza mwezi august,limesemwa kupitia wizara ya elimu ili kuepushe ufelit usio wa lazima na kusuru taifa


Ulipata ndoto mchana kisha ukaiandika? unaushahidi wowote kuthibitisha hoja yako??
 
Ongeza post ili uwe Sr member
"Vox populi Vox dei"
 
Huyu mpuuzi, walimu wako madaraja tofauti haiwezekani kuwalipa flat rate.
 
Laki saba ya ngazi gani? Cheti, Diploma au Digrii?
 
Back
Top Bottom