Chagger boy
Member
- Jan 27, 2018
- 50
- 39
- Thread starter
-
- #21
Kweli wajinga ndio waliwao tunatumika kumtengenezea MTU maishaWe angalia utaona baada ya hiyo kiki page ya Diamond inafikisha karibu likes 300k inakimbizana na page za akina Sanchez, Ozil
Samahani sana sana kwahloMkuu watu tupo busy kuomboleZa hzi story za kiki hatuzifatilii kwa sasa
HahahaKweli wajinga ndio waliwao tunatumika kumtengenezea MTU maisha
Kiongozi ni kweli ila na wewe umempa kiki mno mondi hapoNatumaini ni wazima
Katka kitu nimekuj kushanga kwenye hii tasnia ya Sanaa
Yan bila kiki huwezi kusogeza mziki wqko
Kam shabiki wa damu wa mnyama diamond nilifwatia hili jambo kiundani
Ila nimekuj kuona ni ujing kuchoma vocha kiangalia page za wasani wa kitanzania yani haijirudii ten yupo mwana jamii forom alitoa post kuhusu kuwafollow wasanii wakibongo
Sasa tuje kwenye point ukifwqtilia toka mwanzo wa movie hyo ya masterling ZARI na DIAMOND utakuja kujua ni kiki kwasababu
1:-Diamond anajifanya ajali chchte anajifanya anapost tuzo ili watu wajue anayotuzo kwasababu anajuwa mjakesha kwenye page yake
2;-Ku boost nyimboo za wasanii wa WCB hii ndo kama lengo yani wimbo unaopigiwa kiki niwa maromboso [HASHTAG]#NIMEKUZOEA[/HASHTAG] na wa lavalava UTATULIA yani wanatumia hyo kiki kusema diamond anamwambia mama T kwamba ka miss kwa kutumia wimbo wa Mboso na zari anamjibu kupitia wimbo wa lavalava
Daaq kweli kuwa uyaone Leo nimeyaona LIVE mfn mama T anaanzaje kumuacha diamond ww tumia akili ya la kwanza diamond kampa mimba mobeto akamrudia ety kisa kukumbatiwa sijui na Wema ndo amuwache
Ila sijui ata tembo ni mkubwa ila anauliwa na sisimizi tusubiri hii movie iishe maana ashatupa muda kwamba hii kiki itaisha kabla ya mwezi huu kuisha
Just wait............!
Kuna babu mmoja anakujaga ofisini kwetu, anazijua hzi story za zari na diamond mpk unaogopa,,,afu we una Sema umri,, una miaka mingapiMimi huwa sifuatilii upuuzi wa diamond na zari,maana umri wangu hauruhusu kufuatilia ujinga
TUKO pamoja..na mimi sio umri tu Bali akili yangu ndio hainiruhusu kbisa kufuatilia huo upuuzi waoMimi huwa sifuatilii upuuzi wa diamond na zari,maana umri wangu hauruhusu kufuatilia ujinga
kaka demu kamwaga kweli coz nimeona jana bbc swahili demu kahojiwa kasema wameachana kweli na hawezi kurudiana tena na diamond cheki bbc swahili dira tv ya janaNikuume sikio tu, albamu ya Mond ipo njiani kutoka ilicheleweshwa kwa ishu za kawaida. Nyinyi umizeni vichwa kuwajadili , wanaandaa mazingira ya kuitangaza albamu hiyo
Kabisa....sometimes i weep for the lost time when i open some threads......real
Hapa hakuna majungu sikuumbwa peke yangu duniani so itanibidi nijifunze kutoka kwako na kwa wengine just understandUsitumie muda wako kuangalia ya MTU, tafakari ww ya kwako yanafuatiliwa na nani zaid ya kupigwa majungu?
Stupid boyNatumaini ni wazima
Katka kitu nimekuj kushanga kwenye hii tasnia ya Sanaa
Yan bila kiki huwezi kusogeza mziki wqko
Kam shabiki wa damu wa mnyama diamond nilifwatia hili jambo kiundani
Ila nimekuj kuona ni ujing kuchoma vocha kiangalia page za wasani wa kitanzania yani haijirudii ten yupo mwana jamii forom alitoa post kuhusu kuwafollow wasanii wakibongo
Sasa tuje kwenye point ukifwqtilia toka mwanzo wa movie hyo ya masterling ZARI na DIAMOND utakuja kujua ni kiki kwasababu
1:-Diamond anajifanya ajali chchte anajifanya anapost tuzo ili watu wajue anayotuzo kwasababu anajuwa mjakesha kwenye page yake
2;-Ku boost nyimboo za wasanii wa WCB hii ndo kama lengo yani wimbo unaopigiwa kiki niwa maromboso [HASHTAG]#NIMEKUZOEA[/HASHTAG] na wa lavalava UTATULIA yani wanatumia hyo kiki kusema diamond anamwambia mama T kwamba ka miss kwa kutumia wimbo wa Mboso na zari anamjibu kupitia wimbo wa lavalava
Daaq kweli kuwa uyaone Leo nimeyaona LIVE mfn mama T anaanzaje kumuacha diamond ww tumia akili ya la kwanza diamond kampa mimba mobeto akamrudia ety kisa kukumbatiwa sijui na Wema ndo amuwache
Ila sijui ata tembo ni mkubwa ila anauliwa na sisimizi tusubiri hii movie iishe maana ashatupa muda kwamba hii kiki itaisha kabla ya mwezi huu kuisha
Just wait............!