britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 16,295
- 33,994
Wahamiaji kutoka kwenye nchi yenye vidaradara vyetu vingi vya hewan ukanda wetu walikamatwa hapo nchi ya Comoros wakiwa wamepanda Punda, Tena punda ina harufu kama imekula mchuzi wa mfalme,
Mziki ukaanza sasa Nani mmiliki wa Punda? Za ndaaaaaaani baada ya kusikia Punda Ana harufu ya mchuzi wa mfalme,
Wakaanza kufuatilia wakakuta inamilikiwa na Siri wa Kokwa,
Sasa akapangwa mtu wa alikofia mzee wa gheto langu akapewa UJIRA MWIHA wa kutoka Siri wa Kokwa kwamba wajifanye gari ni Jamaa maana itamchafua Kokwa ya Siri hapo Comoros,
Basi
Mchezo umeisha hutasikia Mamlaka za ufalme zikisema jambo hata kama mchuzi unanukia sana
Britanicca
Mziki ukaanza sasa Nani mmiliki wa Punda? Za ndaaaaaaani baada ya kusikia Punda Ana harufu ya mchuzi wa mfalme,
Wakaanza kufuatilia wakakuta inamilikiwa na Siri wa Kokwa,
Sasa akapangwa mtu wa alikofia mzee wa gheto langu akapewa UJIRA MWIHA wa kutoka Siri wa Kokwa kwamba wajifanye gari ni Jamaa maana itamchafua Kokwa ya Siri hapo Comoros,
Basi
Mchezo umeisha hutasikia Mamlaka za ufalme zikisema jambo hata kama mchuzi unanukia sana
Britanicca