Pre GE2025 Siri ya CHADEMA kukubalika Tanga yatajwa

Pre GE2025 Siri ya CHADEMA kukubalika Tanga yatajwa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Inaelezwa kwamba kwa sasa Chadema ndio Chama ambacho kinazungumzwa Tanga nzima, Wakazi karibu wote wa Mkoa huo wameamua kuachana na vyama vingine vyote na kuunga mkono Chadema, Ajabu kabisa!

Bali wachambuzi wa siasa wanadai kwamba sababu kuu ya jambo hili kutokea ghafla ni hoja zinazohubiriwa na Chama hicho Jukwaani, na hasa kuhusu Uchumi na huduma za Jamii zilizodoroleshwa na ccm, ambayo imegawa matabaka kwa kuweka familia za viongozi kuwa daraja la kwanza huku raia wote wakiwekwa daraja la chini na kuitwa Wanyonge, viongozi wanaishi kuliko hata alivyoishi Yesu Mnazareth enzi za Galilaya.

Tanga imeelewa hoja za Chadema na kuiamini kabisa

Huu hapa ni Mkutano wa Mlalo, angalia wahudhuriaji walivyojipanga utadhani wanasubiri Mgawo wa hela Taslimu zinazoitwa Takrima

Screenshot_2024-07-04-20-54-36-1.png
Screenshot_2024-07-04-20-54-00-1.png
Screenshot_2024-07-04-20-54-23-1.png
Screenshot_2024-07-04-20-54-11-1.png
PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Chadema yazidi kuifungua Tanga, huu hapa ni Mkutano wa Mwakijembe
 
Waambieni chadema nina siri na program ya kuwaongezea ushawishi wakazi wa mwambao.

Ziko 4.

Kwanza waache siasa za chuki.

Ccm wameleta siasa za chuki kwa kuunasibisha ugaidi na Uislamu.

Chadema wanaeneza chuki ili mwarabu aonekani kwa wadanganyika ni maadui.

Halafu kuna suala la itikadi ya serikali na ya taifa.

Ilmtikadi ya serikali ni kufuru sawa na imani ya waislam ambao ngome yao ni mwambao.

Chadema ina paswa waje na ajenda mpya. Ninayo.

La nne ndio dhahabu kuu.
 
Back
Top Bottom